Wadau natafuta wimbo mmoja hivi ni kama rumba umeimbwa kiswahili nahisi na lingala, tbc1 walikua wanauonyesha sana miaka ya nyuma.
Unaimbwa "ya rabanna sikuiba, ya rabanaa sikuua........."
Inategemea na taasisi unayopofanyia kazi sera zake na sheria zako, pamoja na chuo unachotaka kusoma na kozi....
Me binafsi nmesoma diploma nikiwa kazin na sasa hivi nipo 2nd year degree.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.