Recent content by La Pronto

  1. La Pronto

    Tunateleza na VPN sasa hapa JF

    Uzuri watumiaji wengi wa jf ndio wa x.....so ni kama hakijatokea kitu
  2. La Pronto

    Jamani kweli hii sio kuvuja kwa umeme? Unit 28 kwa siku 6

    Hizo taa ni ngap na zina watts ngap....fridge ina watts ngap?
  3. La Pronto

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wadau natafuta wimbo mmoja hivi ni kama rumba umeimbwa kiswahili nahisi na lingala, tbc1 walikua wanauonyesha sana miaka ya nyuma. Unaimbwa "ya rabanna sikuiba, ya rabanaa sikuua........."
  4. La Pronto

    Sipati Picha Kama Hili La Wachezaji Wa Singida BS Kupewa Uraia, Kama Rais Angekuwa Magufuli?

    Mnapenda tu kum hype huyo marehemu....mambo mangapi ya hatari yalitokea kwenye nchi akawa zake kimya....watu wangapi walipotea akala zake cofta
  5. La Pronto

    Ulitumia mbinu gani kumfanya Mtoto wako aache kulala chumbani kwako?

    Hapo navuta picha angekua ni wife, ingetoka kauli moja tu na watoto wote wangesambaratika kwenye chumba chao
  6. La Pronto

    Jinsi ya kuepuka kuporomoka kwa maghorofa ya Kariakoo

    Sababu ni mbili tu......uwajibikaji na rushwa, hayo mengine yote yanaingia humo
  7. La Pronto

    Prof. Tibaijuka: Kwa sheria ya Mipango Miji ilitakiwa Viwanja 4 vya high density viunganishwe mbele na nyuma kujenga ghorofa Kariakoo!

    Bongo ukishajua uwajibikaji hakuna na rushwa imetawala mpaka kwenye chupi, basi utaogopa hata kupita chini ya hayo magorofa
  8. La Pronto

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wadau natafuta wimbo wa african revolution wana tam tam unaitwa mengi yamenikuta.....humo ndani kuna sonyo, badibakule.....
  9. La Pronto

    PreGE2025 Mitandao ya simu inapaswa kutoa ufafanuzi hii kauli ya Nape haitakiwi kupuuzwa hata kidogo

    Hivi kwa kauli hii huyu waziri anaweza kuzibana au kuziwajibisha hizi kampuni za simu pale zinapoenda fyongo? Anyway ni utani tu.
  10. La Pronto

    Unaweza soma Degree Huku ukiwa Kazini

    Ofisi yako kwan ina utaratibu gani mtu akitaka kujiendeleza kimasomo?......maana hamna utaratibu maalum inategemea na unapofanyia kazi mkuu
  11. La Pronto

    Unaweza soma Degree Huku ukiwa Kazini

    Inategemea na taasisi unayopofanyia kazi sera zake na sheria zako, pamoja na chuo unachotaka kusoma na kozi.... Me binafsi nmesoma diploma nikiwa kazin na sasa hivi nipo 2nd year degree.
  12. La Pronto

    Kwanini Serikali haitaki kubadilisha vifungu vya MOU ya DP world? Kama hakuna rushwa

    Wabadilishe kwani wao ndio walio draft...by the way watu washasaini tayari....na wa kula washakula.
  13. La Pronto

    Ferre Gola: Mfalme asiye na nyota

    Kamasutra 100kilo rmx 3eme doigt
Back
Top Bottom