Kila Jambo na wakati wake si Kila yanayofanyika sasa yameanza Sasa michakato ya barabara inachukua muda mrefu kwani hata mabasi ya mwendo Kasi licha ya kuanza kazi awamu hii michakato ilianza tangu enzi ya Mwinyi
Uchaguzi ukiwa huru na wa haki wafyekelewe mbali ila watu wanapohisi kura zao zinapotea hawaendi kupiga kura matokeo yake wanapita wasiohitajika
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Kilwa kuna majangwa ya chumvi mengi na mazuri, ila mtaji wa kuanzisha shamba la chumvi ni mkubwa kidogo lkn inalipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Ngoma ni mbumbu kwa sababu asilimia hiyo haijatokana na sheria iliyopitishwa bungeni bali ni kanuni iliyotungwa na serikali baada ya sheria kupita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.