Ukisoma between lines,utagundua makosa mengi. Na ukitafakari kwa kina utagundua kuwa ni uongo na husda. Kwa mfano umesema tareh.03/09 alikuwa mahakamani kutetea kesi ya mwanae,aliyetenda kosa la jinai tareh18/09. Sasa inakuwaje unaenda mahakamani kutetea kosa ambalo halijatendwa? Acha kudanganya...
Nashukuru sana kwa elimu nzuri sana. Naomba niwemo kwenye list yako ya watu 300. Dola 100 mpaka 300 za kuanzia zipo. Naomba tupate mawasiliano yako ili tukupate kiurahisi.
Nimeshangazwa kuona serikali imejenga soko maeneo ya Bunju B ( Sokoni), vibanda vipo tu bila ya kuwa na wamiliki, ili hali watu wanapanga vitu vyao pembezoni mwa barabara.
Usumbufu unakuwa ni mwingi kwa watembea kwa miguu na ata watumiaji wa magari. Kwanini hawa watu watusumbue wakati soko...
Unakuwaje
Unakuwaje mwandishi wa habari na hujui umuhimu wa habari kwa wananchi? Kuchangia kwenyewe kachangia pumba, si bora muda wake angewapa wabunge wengine wachangie kuliko kuongea upupu.
In reality these tools do not work in developing countries like Tz. They are just theories. Thats why when you apply contractionary policy as one way of reducing money circulation, it results into unemployment, economic stagnation etc. The same applies to expansionary policy especially in...
Pia naomba akafanye uchunguzi wa madoctor wanaosupervise wanafunzi ngazi ya masterz na phd maana wanalali dissertations za wanafunzi mpaka watoe rushwa mbalimbali ili waweze kuwatoa. Kama mtu huna uwezo wa kutoa rushwa ndo unatoswa tu.
Anastahilk maana ameokoa roho nyingi ambazo ccm walishajipanga kuzitoa kama matokeo yasingelikubalika, kama kuongeza magar ya washa washa, askari kutapakaa kila mahali plus vitisho vya hapa na pale. Hongera edo.
Wafanyakazi walimuita mbunge wao kwa kuwa ndo waliomchagua, na sio dc mteuliwa ambaye anafanyakazi kuwaridhisha waliomteua. Kwaio ujio wake dc, haukuwa na maana yoyote kwan kubenea na manejiment walishafikia mhafaka. Naona ni ubabe na kujipendekeza tu kwa dc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.