Prof gari yangu ni mazda verisa..ilipata changamoto ya rejeta nimeibadili na kuweka mpya shida imekuja nimeiendesha kama km 10 hv nikakuta imekausha maji yote ingawa ndani mshale Wa joto unasoma normal na feni inazunguka vyema..naomba utatuzi boss
Nami ningependa kujua toka kwa wenye ujuvi iwapo ni kwel kama mtu anaye tumia dozi kwa usahihi inaweza fikia hatua akienda kucheki status virus vinaweza visionake..yaan akaonekana yuko -ve.
Hv najiuliza mwizi mwenye uelewa si anaweza kuking'oa hicho kifaa na kukitupa ndani ya muda mfupi toka wizi umefanyika na ikawa ngumu kumpata/kupata chombo husika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.