Recent content by Kylion

  1. K

    Sifa hizi zikufanye ukajitegemee

    😅 Kwahiyo kilicho kukimbiza kwenu..ulihc mshua wako angemshika kalio wife? Kama anahizo tabia atakuja kumshikia huko huko kwako mzee
  2. K

    Sifa hizi zikufanye ukajitegemee

    Sawa boss..hao ni wa kwako..wakwangu nawalea nikiwa nao kwetu.
  3. K

    Sifa hizi zikufanye ukajitegemee

    We utakuwa umesha ondoka nyumbani kwenu kama hata kulea wazaz hujui.
  4. K

    Sifa hizi zikufanye ukajitegemee

    Niondokeje ss..acha waendelee kunilea na mm ntawalea pia.
  5. K

    Kocha Mpya Yanga: Lazima niende sehemu inayoendana na malengo yangu (saed ramovic sababu ya kujiuzuru)

    Mwenzie wa Asec mbona wanauza wachezaji kibao kila mwaka na timu bado ni shindani
  6. K

    Spea za magari mbalimbali used Dubai

    Bampa la mbele mazda verisa bei gan? Pia nahitaji na zile fog lights zake
  7. K

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Prof gari yangu ni mazda verisa..ilipata changamoto ya rejeta nimeibadili na kuweka mpya shida imekuja nimeiendesha kama km 10 hv nikakuta imekausha maji yote ingawa ndani mshale Wa joto unasoma normal na feni inazunguka vyema..naomba utatuzi boss
  8. K

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Master nilikuuliza juu ya bei ya kitasa cha mbele kwa dreva gari nissan xtrail bei gan boss?
  9. K

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Kitasa cha mlango wa mbele wa dreva nisan xtrail unauzaje boss?
  10. K

    Je, ni kweli ARV's hupunguza rate ya maambukizi?

    Nami ningependa kujua toka kwa wenye ujuvi iwapo ni kwel kama mtu anaye tumia dozi kwa usahihi inaweza fikia hatua akienda kucheki status virus vinaweza visionake..yaan akaonekana yuko -ve.
  11. K

    SOFTWARE Funga GPS kwenye magari, pikipiki yako na komesha wizi

    Hv najiuliza mwizi mwenye uelewa si anaweza kuking'oa hicho kifaa na kukitupa ndani ya muda mfupi toka wizi umefanyika na ikawa ngumu kumpata/kupata chombo husika?
  12. K

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Shokap za mbele toyota primio bei gan boss?
Back
Top Bottom