Recent content by Kyenyabasa

  1. K

    JamiiForums Tanzania Padre Godfrey Jackson Mwasekaga ateuliwa kuwa Askofu Msaidizi Jimbo Kuu la Mbeya

    Alipata A tano o'level alkuwa mwamba kwelikweli darasani
  2. K

    JamiiForums Tanzania Walimu wa kisasa kwaya za ibada za kikatoliki wanaua ladha halisi ya ibada za kikatoliki

    Acha kudeka! Zamani Vatican na wafadhiri walikuwa wanaleta fedha kwa ajili ya uendeshaji ila sasa hivi haipo hivyo! Inabidi tusimame wenyewe
  3. K

    JamiiForums Tanzania Walimu wa kisasa kwaya za ibada za kikatoliki wanaua ladha halisi ya ibada za kikatoliki

    Sijawahi kunufaika ndg yng! Jifunze kutoa kwa moyo hapo ndo kuna Siri ambayo wengi hatuijui ama tunaipuuza! Wanaoijua wala hawawezi kukusanua ili ujue Siri,,,, ndg yng ukiona kutoa kanisani ni Ngumu basi katoe kwq Yatima,wajane nk
  4. K

    JamiiForums Tanzania Walimu wa kisasa kwaya za ibada za kikatoliki wanaua ladha halisi ya ibada za kikatoliki

    Kanisa Kanisa linajengwa na wenye moyo! Ukiona vyaelea ujue vimeundwa! Shida yng ni hawa walimu wa hovyo wanaobadili ladha ya kale ya kwaya zetu za ibada
  5. K

    JamiiForums Tanzania Walimu wa kisasa kwaya za ibada za kikatoliki wanaua ladha halisi ya ibada za kikatoliki

    Zamani ilikuwa kwaya za kiibada zinavutia na kusisimua lakini wamekuja vijana wa hovyo wanajiita walimu wa kwaya yaaji Wana edit kila kitu mwisho wa siku kwaya za ibada hazigusi mioyo na kusisimua, ilikuwa kawaida mwanakwaya wa Bukoba kuimba kwaya Mtwara bila shidaa yoyote ila sasa ni ngumu...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

    Sijawahi kuhangaishwa na phyz wa Mathe,,nilizitandika A vidato vyote,,nenda Uganda,Kenya lete swali lolote ilkw lazm life
  7. K

    JamiiForums Tanzania Waziri Masauni lipa posho za maji na umeme kwa Askari wako

    Askari wa Wizara yako walie mpaka lini!? Unafrahia kuongoza Askari wanyonge! Hizi posho za maji na Umeme serikali inazitoa zinaishia kuliwa na wajanja Wizarani pengine ukiwepo wewe (tetesi zipo) watumishi wote wizarani wanalipwa posho hizi! Iweje Askari waambiwe wanunue umeme na maji alafu...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Waziri Masauni Atuhumiwa Kukwamisha Maslahi Ya Askari Wizara Ya Mambo Ya Ndani Kwa Maslahi Yake

    Askari walioko chini ya Wisara ya Mambo ya Ndani kutoka Polisi,Magereza,Fire nk wamekuwa wakimtuhumu Waziri Wa Mambo ya Ndani na watumishi wengine Wizarani kuzuia kwa maksudi posho yao ya UMEME na MAJI,huku wakitumia posho hiyo kujifaisha wenyewe kwa kujenga majumba ya kifa ha ri maeneo...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

    Sasakwq akili yako umeona huo ni mshahara wa kumfanya mtu awe tajiri
  10. K

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

    Hivi wewe kabila gani!? Staff sajenti wa magereza ana basic salary ya 786,000/ mbona mgumu kuelewa,,posho zote nilizokutajia kuanZia Duty free,ration, hardship,Pango wan a lipwq direct kwenye mishahara yao ukiondoa ration allowance na duty free ambazo hutoka kwq kujitegemea,,nko jikoni mZee...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

    Hahahahaha!! Mi naongea nina uwezo wa kuona kila mshahara wa mtumishi ukinibishia nakuona mwehu! Sajenti wa Magereza ana 645,000 basic salary ,100,000 vinywaji,pango 95,000,ration allowance 300,000/,Bima bure hachangii, hardiship allowance 95,000,maji na umeme soon wanaanza kulipwa keshi,Ujuzi...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

    Magereza hawali kambini mzee posho wa napewa yote 300,000 na polisi pia,,,posho ya vinywaji hutoka kila baada ya miezi 3 kwa majeshi yote ambayo ni tsh300,000/
  13. K

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

    Askari Magereza anayeanza kazi na elimu ya form4 analipwa: Msha ha ra= 516,000 basic Posho ya chakula 300,000 Posho vinywaji 100000 Mazingira magumu 86,000 Pango la nyumba 86000 Ujuzi 86,000 kama anao Umeme na maji bure punde wanaanza kulipwa keshi. Bima bure
Back
Top Bottom