Inaonekana mambo yanayo husu taarifa za taaluma uko mbali nazo.CAG ni taasisi inayo sheheni taaluma nyeti kama unahitaji kuelewa zaidi mtembelee akueleweshe na usome draft zake majibu utayapata sio hapa jamvini.
Watanzania tunasubiri kwa hamu baraza kuu kumaliza kazi yake ya kutimua covid-19.
Mada nyingine hazifai kabisa kabla ya kuwaondoa covid-19 Bungeni
CHADEMA hamtaheshimika tena fanya kweli ili tuwaunge mkono. mbona siku zinasogea??
mwaka jana 2020 ilikuwa lima Emisiri ! yaani kulima kutayarisha mashamba mengi na mwaka huu ni Bagala yaani palilia hivyo mwaka kesho 2022 itakuwa Sha-alula au shoroma yaani vuna (Huge/harvest)?
muandishi atusaidie tuelewe ziara ya waziri wa mambo ya nje wa China itakuwepo tarehe ngapi za uhakika ?pamoja na kuulizwa hajatupa taarifa sahihi. Kama kuna anaye fahamu habari hii atusaidie.
naomba simu yako au muhusika wa kilimo cha macadamia
tupe simu yako tunataka kununua hiyo miche ya shs 2,000/= piga au tuma sms 0763031988 / 0623225404
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.