As long as kuna watu wanategemea huduma yake yawezekana hilo ndilo kusudi lake.
Tofautisha, kuna kusudi la Mungu la kuwepo kwa mwanadamu hapa duniani pia kuna kusudi la mwanadamu mwenyewe.
Nimejibu kwa mujibu wa swali lako.
Mambo ya fhedha yanahitaji backup, ni kama umeme. Usihifadhi fedha kwenye kiriba kimoja kikubwa.
Fhedha nyingine hifadhi kwenye viriba vidogo vidogo, mf: Airtel money, mikisi bai Yasi. Au kuwa na bank mbili tofauti unazohifadhi pesa.
Gap iliyopo kati ya aliyeoa/olewa ni kuwa haya yote uliyoyahorodhesha mtu aliyeoa/olewa inalazimika ayafanye pia afanye na kwa familia yake.
Kwa hiyo bado msumari unagonga mle mle.
Kwa sasa ukimwi siyo tishio, kipindi kile ukiikwaa ngoma tunakuhesabia siku ila siku hizi unagonga mpaka 20 yrs.
Kwa sasa kipindupindu ni tishio kuliko ukimwi.
Ungewauliza hao walionunua, sisi ambao hatujaliona hilo andiko hatujaenda kununua.
Haya ndiyo matatizo ya shortcut, watu hawataji kulipa gharama kuyasoma ba kuyachunguza maandiko badala yake wamechukulia kuwa ni fast food (chukua uondoke).
Wacha wapigwe mpaka watakapokubali kukaa katika neno la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.