Recent content by Kyenju

  1. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    Unatakiwa ukamatwe na kusukumwa ndani kwa uchochezi
  2. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Umejua dhumuni lako la kuwepo?

    As long as kuna watu wanategemea huduma yake yawezekana hilo ndilo kusudi lake. Tofautisha, kuna kusudi la Mungu la kuwepo kwa mwanadamu hapa duniani pia kuna kusudi la mwanadamu mwenyewe. Nimejibu kwa mujibu wa swali lako.
  3. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Kuna nini kuhusu AI mfumo kuzibitiwa kama ukitoka nje ya USA hata ufanyeje unakataa kabisa

    Oya Mkuu! Weka ushahidi, maneno makavu ni magumu kumeza.
  4. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Mother confesa🤔

    Naoana wadau wanakutilia mashaka Bwashee.
  5. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Mother confesa🤔

    Bwashee😄😄! Mzee wa sometimes_ sometime Mangi, sometimes Manka.
  6. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Hili la kukosekana kwa huduma za kibenki NMB kwa zaidi ya saa 48 ni mateso kwa wateja

    Mambo ya fhedha yanahitaji backup, ni kama umeme. Usihifadhi fedha kwenye kiriba kimoja kikubwa. Fhedha nyingine hifadhi kwenye viriba vidogo vidogo, mf: Airtel money, mikisi bai Yasi. Au kuwa na bank mbili tofauti unazohifadhi pesa.
  7. Kyenju

    JamiiForums Tanzania TRA: Wafanyabiashara wapya waendelee kujiachia mwaka mzima, wana msamaha wa kodi

    Ngoja nisajili jina jipya la biashara.
  8. Kyenju

    JamiiForums Tanzania "Ukumbi walipuka kwa shangwe Waziri Mkuu alipoingia kwenye Knock Out ya Mama."

    Nilidhani Mchemba kampiga mama knockout, kampa ndonga za chembe na kidevu.
  9. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Tabia ya baadhi ya wazee kuingilia na kubeza bajeti za vijana wasiooa sehemu za kazi

    Gap iliyopo kati ya aliyeoa/olewa ni kuwa haya yote uliyoyahorodhesha mtu aliyeoa/olewa inalazimika ayafanye pia afanye na kwa familia yake. Kwa hiyo bado msumari unagonga mle mle.
  10. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Hivi tuna uhakika kuwa hawa watoto wa late 2000s na 2010s wanaujua ukimwi nje ndani. Tuendeleeni kuwakumbusha

    Kwa sasa ukimwi siyo tishio, kipindi kile ukiikwaa ngoma tunakuhesabia siku ila siku hizi unagonga mpaka 20 yrs. Kwa sasa kipindupindu ni tishio kuliko ukimwi.
  11. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Yeah! Wacha wapigwe mpaka akili ziwakae sawa, wameshindwa kuyatafuta maarifa kwenye neno la Mungu, wanataka vitu vya rahisi rahisi.
  12. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Tapeli wapi wakati wewe ndiyo unampelekea pesa!
  13. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Ungewauliza hao walionunua, sisi ambao hatujaliona hilo andiko hatujaenda kununua. Haya ndiyo matatizo ya shortcut, watu hawataji kulipa gharama kuyasoma ba kuyachunguza maandiko badala yake wamechukulia kuwa ni fast food (chukua uondoke). Wacha wapigwe mpaka watakapokubali kukaa katika neno la...
Back
Top Bottom