Mkuu! Unabofya na kuandika ili chapisho ukiwa wapi?
Mimi na familia yangu tunaishi hapa PALM VILLAGE floor ya 5, hizi mboga mboga na kufuga tukuku na tusungura watoto watafanyia wapi.
Naamini nia yake ni nzuri, ila tatizo lipo kwenye uwasilishaji.
Watu waliochimba visama hasa vile visima virefu, siyo vya kuchimba na mikono, waruhusiwe kuuza maji ila wafuate taratibu za usalama wa maji kutoka mamlaka husika kuanzia kuchimba mpaka ugavi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.