Hii nchi kila mtu ajipiganie, ni nchi ya watu wenye modomo domo na kelele nyingi pasi na vitendo. Wachache waliojitolea kutetea na kupigania maslahi ya Watanzania wameishia kufungwa, kuteswa, au kupotezwa. Polopole alijaribu mpaka sasa hatujui hatima yake, Watanzania waliokiwa wanamuunga mkono...
As long as kuna watu wanategemea huduma yake yawezekana hilo ndilo kusudi lake.
Tofautisha, kuna kusudi la Mungu la kuwepo kwa mwanadamu hapa duniani pia kuna kusudi la mwanadamu mwenyewe.
Nimejibu kwa mujibu wa swali lako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.