Recent content by Kyenju

  1. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Tetesi kuhusu makamu wa rais mfukuzwa Nchimbi hayupo Tanzania

    Mchimbi ibadani leo.
  2. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Kwani ni madhara gani husababishwa na mmea?
  3. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Hii bundiki ndio imetumika na kuuzwa zaidi Dunia na imeleta maafa ya kutisha.

    Huyu ndiye bwana Mikhail Timofeyevich Kalashnikov.
  4. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    The last drop of urine doesn't obey the gravitational force until you shake it. Zingatia hili neno "until you shake it"
  5. Kyenju

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Yasogeza Mbele Kikao cha Baraza Kuu, Viongozi Kushiriki Kesi ya Mwenyekiti wao Lissu

    Tunafanyaje kikao hali M/Kiti wetu Kamanda bado kasukumwa ndani?
  6. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Mwachie Emanuel Nchimbi punguzeni kuendesha nchi kihuni

    Watanganyika!!! Ni watu wa makelele mitandaoni, vitendo zero.
  7. Kyenju

    JamiiForums Tanzania KERO Nimetibiwa Zahanati ya Chuo Kikuu cha MUST, Mganga Mkuu anasema nilipe kwa Lipa Namba yake, hii ni sawa?

    No vizuri lifuata maelekezo ya daktari bila kupiga kelele. Okay🫵🫵
  8. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Kwanini taarifa za kifo cha Mpishi wa Ofisi Binafsi ya Makamu wa Rais zimefichwa?

    Haya mambo ya siasa chafu bana! Wakubwa wanapatwa na mafua wadogo wadogo ndiyo wanapiga chafya.
  9. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jinsi Dk Nchimbi alivyogundua Rais Samia anatamani mabadiliko

    Soma hii makala ya Mwanahalisi https://www.jamiiforums.com/threads/mwanahalisi-nchimbi-agoma-kujiuzulu.2460353/
  10. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jinsi Dk Nchimbi alivyogundua Rais Samia anatamani mabadiliko

    Soma hii makala ya Mwanahalisi https://www.jamiiforums.com/threads/mwanahalisi-nchimbi-agoma-kujiuzulu.2460353/
  11. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Nchimbi ni zaidi ya mhaini, alaaniwe na kila mtanzania

    Hii nchi kila mtu ajipiganie, ni nchi ya watu wenye modomo domo na kelele nyingi pasi na vitendo. Wachache waliojitolea kutetea na kupigania maslahi ya Watanzania wameishia kufungwa, kuteswa, au kupotezwa. Polopole alijaribu mpaka sasa hatujui hatima yake, Watanzania waliokiwa wanamuunga mkono...
  12. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    Unatakiwa ukamatwe na kusukumwa ndani kwa uchochezi
  13. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Umejua dhumuni lako la kuwepo?

    As long as kuna watu wanategemea huduma yake yawezekana hilo ndilo kusudi lake. Tofautisha, kuna kusudi la Mungu la kuwepo kwa mwanadamu hapa duniani pia kuna kusudi la mwanadamu mwenyewe. Nimejibu kwa mujibu wa swali lako.
Back
Top Bottom