Hivi hawa jamaa wanajiamini sana! Kiasi kwamba wanaweza kuvunja sheria za mamlaka.
Hapa maeneo ya Zakhem Mbagala kuna maroli yanapaki kuanzia service road, barabara ya waenda kwa miguu, mpaka njia moja ya barabara kuu. Hili jambo linasababisha foleni kuwa kubwa na kulazimisha magari ya kawaida...
WATUMISHI WA SERIKALI WANAOTUMIA DAWA ZA KULEVYA WAKALIA KUTI KAVU…
MichuziMay 14, 2026Read original
-DCEA kuja na operesheni maalum kuwabaini, vijana walioko vyuo vikuu, katika vijiwe waonywa
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) imetoa...
Hakuna cha unafiki! Linapokuja jambo la kupambania mkate ipambanie familia yako kwanza. Alichofanya ni sahihi, Hacha michwa ya bongo iendelee kutoboa mashuka.
Hawezi kuwa na majibu, kama hauna watu wa kukusaidia kwenye mipango na mikakati ya uchumi, badala yake umezungukwa na michwa, ambao wanaangalia maslai yao binafsi- huwezi kuwa na majibu.
Sahihi kabisa! Unakuta jamaa limesha puyanga na wanawake kibao mpaka mishangazi, halafu naye anataka aoe bikira. Hii ndoa haiwezi kudumu, jamaa linakumbuka ile mitindo ya mishangazi na kumuona bikira hafai.
Napendekeza mabikira waoane wao kwa wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.