Recent content by Kyenju

  1. Kyenju

    JamiiForums Tanzania KERO Haya malori yanayopaki barabarani yamekuwa kero

    Uwekezaji au uharibifu! Semi trailers zenye shehena zinapita na kupaki kwenye service road!
  2. Kyenju

    JamiiForums Tanzania KERO Haya malori yanayopaki barabarani yamekuwa kero

    Hivi hawa jamaa wanajiamini sana! Kiasi kwamba wanaweza kuvunja sheria za mamlaka. Hapa maeneo ya Zakhem Mbagala kuna maroli yanapaki kuanzia service road, barabara ya waenda kwa miguu, mpaka njia moja ya barabara kuu. Hili jambo linasababisha foleni kuwa kubwa na kulazimisha magari ya kawaida...
  3. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Thobias Mwesiga anayetajwa Kwenye kashfa chafu

  4. Kyenju

    JamiiForums Tanzania WATUMISHI WA SERIKALI WANAOTUMIA DAWA ZA KULEVYA WAKALIA KUTI KAVU…

    Huko vyuoni pia kuna kitivo cha madawa ya kuyumbisha madishi.
  5. Kyenju

    JamiiForums Tanzania WATUMISHI WA SERIKALI WANAOTUMIA DAWA ZA KULEVYA WAKALIA KUTI KAVU…

    WATUMISHI WA SERIKALI WANAOTUMIA DAWA ZA KULEVYA WAKALIA KUTI KAVU… MichuziMay 14, 2026Read original -DCEA kuja na operesheni maalum kuwabaini, vijana walioko vyuo vikuu, katika vijiwe waonywa Na Said Mwishehe, Michuzi TV MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) imetoa...
  6. Kyenju

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waafrika nini kinatukwamisha kufanya harusi ya aina hii?

    Mbona zinafanyika sana hizi.
  7. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Baada ya Ruto Kutakiwa Kutoa Maelezo Kwa nini Atangaze Mradi wa kiwanda bila Kushirikisha Tanzania,Amwambia Dangote Ahamishie Kiwanda Mombasa.

    Hakuna cha unafiki! Linapokuja jambo la kupambania mkate ipambanie familia yako kwanza. Alichofanya ni sahihi, Hacha michwa ya bongo iendelee kutoboa mashuka.
  8. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Tungekuwa tuna Rais tayari angekwisha kuja na majibu ya kina kuhusu mradi wa mafuta wa Tanga , na kwanini dangote kapeleka mombasa

    Hawezi kuwa na majibu, kama hauna watu wa kukusaidia kwenye mipango na mikakati ya uchumi, badala yake umezungukwa na michwa, ambao wanaangalia maslai yao binafsi- huwezi kuwa na majibu.
  9. Kyenju

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    Sahihi kabisa! Unakuta jamaa limesha puyanga na wanawake kibao mpaka mishangazi, halafu naye anataka aoe bikira. Hii ndoa haiwezi kudumu, jamaa linakumbuka ile mitindo ya mishangazi na kumuona bikira hafai. Napendekeza mabikira waoane wao kwa wao.
  10. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Walokole kweli hii mistari huwa mnaisoma....au kudonoa donoa bibilia

    Oya! Kumbe mpaka JF mapepo yamo?
  11. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Walokole kweli hii mistari huwa mnaisoma....au kudonoa donoa bibilia

    Unaweza kunipa tafsiri ya makelele? Kelele ni nini?
Back
Top Bottom