Recent content by Kyenju

  1. Kyenju

    Bora kuwa single!

    Hacha miaka isogee sogee, stress ulizozikimbia ujanani utazipata uzeeni. Omba Mungu akupe uhai ufikie 70,80 yrs. Unacheza mchezo wa mbuni, hujalikwapa tatizo bali umelisogeza mbele.
  2. Kyenju

    Bora kuwa single!

    Inaonekana hata wewe huna msaada wowote kwa wazazi wako.
  3. Kyenju

    Tuna mashaka sana na Elimu yetu kwa sasa.

    Mkuu! Unabofya na kuandika ili chapisho ukiwa wapi? Mimi na familia yangu tunaishi hapa PALM VILLAGE floor ya 5, hizi mboga mboga na kufuga tukuku na tusungura watoto watafanyia wapi.
  4. Kyenju

    Mkurugenzi DUWASA(Dodoma): Kama umechimba kisima tumia na familia yako usiwape wengine, haturuhusu wenye visima kusambaza maji kwa wananchi

    Naamini nia yake ni nzuri, ila tatizo lipo kwenye uwasilishaji. Watu waliochimba visama hasa vile visima virefu, siyo vya kuchimba na mikono, waruhusiwe kuuza maji ila wafuate taratibu za usalama wa maji kutoka mamlaka husika kuanzia kuchimba mpaka ugavi.
  5. Kyenju

    Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

    Kama huamini kuwa Yona alikaa tumboni mwa samaki siku tatu na akatoka akiwa hai wewe ni mkristo wa mchongo, au mpagani uliyechangamka.
  6. Kyenju

    Sherehekeni kwa muda, mnaenda kupewa somo

    Yeah... Hata majuzi Khomenei alikula nao Christmas.
  7. Kyenju

    Sherehekeni kwa muda, mnaenda kupewa somo

    Badoo..... Sindano hazijakuingia vizuri.
  8. Kyenju

    Waislamu Tanzania mbona hamtumi salamu za rambirambi kwa Wenzenu Iran kwa Kuuliwa kwa Kiongozi wenu Ayatollah Khamenei?

    Mkuu gallow! Khamenei kaonekana kwenye vilima vya Tolabora, kapigia kobazi kubwa muundo wa safety boots.
  9. Kyenju

    Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    Wee jamaa ni muongo, Khamenei kaonekana kwenye viunga vya Tolabora kavaa kobazi kubwa muundo wa safety boots.
  10. Kyenju

    Uzazi wa mpango upi salama?

    Angalizo: kutoa mimba ni kufanya mauaji, yaani unakuwa muuaji. Wanandoa kama hamko tayari kupata mtoto msifanye tendo la ndoa.
Back
Top Bottom