Recent content by kyene kyaka

  1. kyene kyaka

    Kamatakamata ya wabunge wa Upinzani Nani anafaidika?

    Andika vizur ndo urud hapa mana kuandika tu shida cjui mnasomea wap wenzangu . . . kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  2. kyene kyaka

    Kwa hili la ndege yetu kuzuiliwa Rais Magufuli inabidi awajibike Mara moja!!

    Ko muandamane kwa ajir ya bombardier jaribun kuwa serious nyie nyumbu . . . . kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kyene kyaka

    Raila na NASA wapinga ushindi wa Uhuru Kenyatta Mahakamani

    WAKENYA hongeren sana mana huyo mtu angewauza ko hata aende wap wakenya ndo washaamua . . . kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  4. kyene kyaka

    Kwa hili la ndege yetu kuzuiliwa Rais Magufuli inabidi awajibike Mara moja!!

    Mmeshindwa kuandamana kipind chote cha miaka miwili mnapewa kila siku za uso ndo mje kuandamana kwa ajiri ya bombardier.. Jaribuni muone . . . kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  5. kyene kyaka

    Rais asiyesafiri nje ya nchi yake hajiamini, haiamini timu inayomzunguka

    Tukisafili huku nyuma mnafanya magumashi nyingi kwa siku moja sasa bora tubanane hapahapa...nje tutaendelea kumtuma makamu wa rais hadi miaka kumi iishe. Asante . . . kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  6. kyene kyaka

    Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

    Nashukuru mkuu kwa hii thread . . . Kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  7. kyene kyaka

    Odinga going to win the election in Kenya

    Hapana kwa kwel katika nipo na KENYATA mana Raila kakaa kuuza nchi ya watu . . . Kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  8. kyene kyaka

    Karibuni tupeane kali za viongozi wetu

    Hizi billion ni hela za mboga tu -kiukwel mama alinivuruga mpaka nikaanza kuchukia chama changu kutunza watu kama hawa . . . kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  9. kyene kyaka

    Hitimisho: CHADEMA kuna ombwe la uongozi

    Umenifurahisha sana hapo nchi imetulia,nchi inasonga mbele na watanzania wameendelea kushuhudia UONGOZI uliotukuka Ki ukwel ccm inatakiwa iwafundishe hawa ndgu zang vyama vinapodai democracy vianze kuonyesha democracy ndan yake ..CHADEMA kikanda CHADEMA mwenyekiti hanyoshewi kidole kisa mchaga...
  10. kyene kyaka

    Huu mtindo wa waziri mkuu kuiagiza TAKUKURU kumkamata mtu sio sawa

    Kugundua? Sahihi zao zipo pale kila upigaj ulioendelea mbona alishasema hilo jana ko acha wanyooke . . . kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  11. kyene kyaka

    Huu mtindo wa waziri mkuu kuiagiza TAKUKURU kumkamata mtu sio sawa

    Hapana hii ndo style ya kipind hiki kama uliweza kuzila hela za watanzania bila aibu acha na wewe ushughulikiwe bila kukuonea huruma. ..ungekuwa mtu wa mbeya ungejua uchungu wa soko hili naona lilivongojewa kwa hamu mwisho kupewa output ambayo ni upumbavu mtupu tena kusubirisha kwa miaka mingi...
  12. kyene kyaka

    Siasa zampoteza Mbowe bila Kujua

    Hiko chama si chenu nyie wachaga sasa sisi watu wa mbeya kinatuhusu nn endelen kujifaliji kama mtakuja kuchukua hii. ..sisi tunakomaa na chama la taifa sio cha wachaga . . . kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  13. kyene kyaka

    Siasa zampoteza Mbowe bila Kujua

    Kosa lake alikijenga chama kwa misingi ya kikanda na kikabila ndo kitakachomtafuna mpaka chama kujifia huko . . . kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
  14. kyene kyaka

    Kanisa Katoliki mko wapi kulinda amani ya nchi?

    Linasubur kidgo chato boy anyooshe nchi ikae kwenye muhimili wake baada ya hapo litaanza kutoa hayo matamko kuwa na subira . . kyenekyaka nkighanile une Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom