Recent content by kyanyangwe

  1. K

    Informers wa Mange Kimambi huwa wanampa matango pori sana

    Nimepitia uzi wa the so called mwanaharakati uchwara Mange kimambi,nimeona amepotosha umma dhidi ya serikali yetu tukufu. Huyu mwana mama amedanganya umma kuwa wanajeshi wamemtumia screenshots za kutumiwa pesa eti za shukrani kwa kazi nzuri ya kuua watu waliyoifanya, nimeangalia tarehe ya hiyo...
  2. K

    Kwa yaliyotokea, nashauri wananchi tufanye yafuatayo

    1. Hakuna maridhiano bila katiba mpya na uchaguzi mpya wa Rais, wabunge na madiwani kurudiwa. 2. Viongozi wote wenye kesi za kisiasa waachiwe huru. 3. Wananchi tusiwape ushirikiano viongozi wote waliochaguliwa kwenye huu uchaguzi wa kiini macho. 4. Kuwe na zomea zomea ya viongozi wote wa...
  3. K

    Siku ya nne leo sijapata haja kubwa

    Nina siku nne sijapata haja kubwa. Nikienda chooni naishia kujamba tu. Nitakua na tatizo gani?
  4. K

    Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    Nasikia Hangaya nae huwa anavaa shanga. Kuna mzee mmoja wa ccm alisikika akiropoka huku kwenye vilabu vya komoni huku mbeya mabanzini.
  5. K

    Nikiwa nakula mzigo, nahema sana

    Kaenda zanzibar kufanya kampeni, sio ulivyodanganywa wewe na akina Mange.
  6. K

    Nimekunywa dawa za minyoo aina ya Albendazole. Naweza kunywa vibia viwili au vitatu baadae jioni?

    Nakukumbusha. Dialysis per day ni tsh 200,000/=.na baadhi ya bima hazikavi. Usiseme hukuambiwa.
  7. K

    Nikiwa nakula mzigo, nahema sana

    Shida sana watu wa humu
  8. K

    Nikiwa nakula mzigo, nahema sana

    Niko poa tu,chuma napiga fresh tu.
  9. K

    Nikiwa nakula mzigo, nahema sana

    Sina tumbo kama lile
Back
Top Bottom