Recent content by kyanyangwe

  1. K

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Kwangu ni kubwa
  2. K

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Jf ya matajiri hii,kila mmoja humu ni analipwa 10m
  3. K

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Sahihi mkuu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Utumishi ukipiga oral,we potezea hawana formula maalumu.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Huyu dogo ni chalii mdogo tu kamaliza chuo miaka mitatu nyuma, leo nimebahatika kuona salary slip yake, kidogo nizimie yaani. Kuna private sector watu wanakula good time sio poa!
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nataka kumtoroka mwajiri wangu bila kumuaga

    Huyu mwajiri wangu,tuna mkataba wa mwaka mmoja. Mshahara anatoa tarehe 50 Mshahara wenyewe mpaka mpigane ngumi ndio anatoa. Ana matusi balaa. Nataka nimtoroke..kuna madhara yoyote?
  7. K

    JamiiForums Tanzania Hivi cooperative officer II wana maisha kweli?

    Ukipangwa halmshauri,tegemea njaa kali
  8. K

    JamiiForums Tanzania Maswali ya oral interview Tanzania Commercial Bank,nafasi ni Relationship officer ii.

    Duh Mbona mimi hawajaniita,au ndio kujuana?
  9. K

    JamiiForums Tanzania Informers wa Mange Kimambi huwa wanampa matango pori sana

    Nimepitia uzi wa the so called mwanaharakati uchwara Mange kimambi,nimeona amepotosha umma dhidi ya serikali yetu tukufu. Huyu mwana mama amedanganya umma kuwa wanajeshi wamemtumia screenshots za kutumiwa pesa eti za shukrani kwa kazi nzuri ya kuua watu waliyoifanya, nimeangalia tarehe ya hiyo...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kwa yaliyotokea, nashauri wananchi tufanye yafuatayo

    1. Hakuna maridhiano bila katiba mpya na uchaguzi mpya wa Rais, wabunge na madiwani kurudiwa. 2. Viongozi wote wenye kesi za kisiasa waachiwe huru. 3. Wananchi tusiwape ushirikiano viongozi wote waliochaguliwa kwenye huu uchaguzi wa kiini macho. 4. Kuwe na zomea zomea ya viongozi wote wa...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Siku ya nne leo sijapata haja kubwa

    Nina siku nne sijapata haja kubwa. Nikienda chooni naishia kujamba tu. Nitakua na tatizo gani?
  12. K

    JamiiForums Tanzania Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    Nasikia Hangaya nae huwa anavaa shanga. Kuna mzee mmoja wa ccm alisikika akiropoka huku kwenye vilabu vya komoni huku mbeya mabanzini.
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikiwa nakula mzigo, nahema sana

    Kaenda zanzibar kufanya kampeni, sio ulivyodanganywa wewe na akina Mange.
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikiwa nakula mzigo, nahema sana

    Sawa
Back
Top Bottom