Nimepitia uzi wa the so called mwanaharakati uchwara Mange kimambi,nimeona amepotosha umma dhidi ya serikali yetu tukufu.
Huyu mwana mama amedanganya umma kuwa wanajeshi wamemtumia screenshots za kutumiwa pesa eti za shukrani kwa kazi nzuri ya kuua watu waliyoifanya, nimeangalia tarehe ya hiyo...
1. Hakuna maridhiano bila katiba mpya na uchaguzi mpya wa Rais, wabunge na madiwani kurudiwa.
2. Viongozi wote wenye kesi za kisiasa waachiwe huru.
3. Wananchi tusiwape ushirikiano viongozi wote waliochaguliwa kwenye huu uchaguzi wa kiini macho.
4. Kuwe na zomea zomea ya viongozi wote wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.