Recent content by Kyamtwala

  1. Kyamtwala

    Huyu jamaa anayajua mambo mengi ya Dunia , tofauti na tunavyo fikiria

    Kwa wenzetu mtu kama Lissu ni asset, kwetu huku kwa wenye roho mbaya ni liability....! No Reform No Election
  2. Kyamtwala

    Hii Taarifa ya Tanzania kutumia bilioni 558 kununua magari imekaaje?

    Ninacho jiuliza kwa hao wanao nunuliwa magari na serikali kwa gharama kubwa,mchango wao ni kiasi ghani katika maendeleo ya taifa letu...!
  3. Kyamtwala

    Application za mkopo HESLB

    Subiri wakati wa dirisha la marekebisho,utaweza kurekebisha taharifa zako...!
  4. Kyamtwala

    Appeal za HESLB kwa waliokosa mkopo ipoje?

    Hapana....,kinacho onekana hapo ni malipo yake yaliyo thibitishwa ambayo atayapata muda c mrefu...!Bodi wanaanzaga na meals and accommodation na fees huwa ni baadae.
  5. Kyamtwala

    Naweza tumia cheti cha form 6 kuomba diploma baada ya ku-disco chuo

    Kama ume disco degree,nenda chuo upewe discontinue letter.Ipeleke TCU ili waondoe jina lako kwenye mfumo then ufanye application ya vyuo upya katika mwaka wa masomo. Kama ume disco on academic ground,unaweza ku apply katika mwaka unao fata wa masomo. Kama ume disco on misbehaving such as...
  6. Kyamtwala

    Appeal za HESLB kwa waliokosa mkopo ipoje?

    Ingia account yako ya rita, copy verification number ya cheti chako then pest.
  7. Kyamtwala

    Nina miaka 27, bado nina ndoto ya kuwa Daktari (Médical Doctor)

    Africa life,Maisha ya watoto wa Africa hasa tuliozaliwa familia maskini,msingi wa mafanikio huwa ni bahati tu.Fursa nyingi hazipo upande watu,itakuhitaji utumie nguvu kubwa sana with a lot of sacrifice kufikia malengo.
  8. Kyamtwala

    Nina miaka 27, bado nina ndoto ya kuwa Daktari (Médical Doctor)

    Kusoma sidhani age kama ni tatizo.Kikubwa ni malengo yako.Ukibahatika kuingia chuoni utakutana na watu wazima wenye age sawa au kuwazidi wazazi wako,wanapiga book.Timiza ndoto yako,age doesn't matter at all...!
  9. Kyamtwala

    Naomba ushauri ndugu zangu

    Ni jinsia gani?Vp akili yake na uwelewa wake katika utambuzi wa mambo? OK,fanya evaluation katika vipawa au kipaji chake kwa yale anayo yamudu then unaweza kumuendeleza katika hayo na ikawa ajira yake hapo baadaye...!
  10. Kyamtwala

    Nina VC3 ya electrical installation je naweza kuendelea na chrome kikuu?

    Ukitoka level 3 unapita diploma mkuu ndiyo unapata sifa ya kuingia chuo kikuu.Kila lakheli...!
  11. Kyamtwala

    Msaada: Nafanya maombi ya mkopo, mfumo unanipa ujumbe "Your Rita Values Are Invalid"

    Cheti cha kuzaliwa pamoja na vyeti vya vifo,vina verified na rita then unapewa verification number ambayo unaiingiza hapo wakati unafanya application ya mkopo.Kama hujafanya verification ya cheti basi anza na hiyo kabla ya kuomba mkopo.
Back
Top Bottom