chief kamchicha
Member
- Jan 22, 2014
- 29
- 56
Naomba msaada kwa anayejua.
Nafanya maombi ya mkopo kwa ngazi ya stashahada. Shida nikifika kwenye sehemu ya kujaja taarifa za kiemografia na kuandika namba za cheti cha kuzaliwa na nikitaka kusave Inanigomea nabkuniandikia "Your Rita Values Are Invalid" nawezaje tatua changamoto hiyo?
Nafanya maombi ya mkopo kwa ngazi ya stashahada. Shida nikifika kwenye sehemu ya kujaja taarifa za kiemografia na kuandika namba za cheti cha kuzaliwa na nikitaka kusave Inanigomea nabkuniandikia "Your Rita Values Are Invalid" nawezaje tatua changamoto hiyo?