Kwani ukinyamaza si utaonekana zimo kuliko kujidhalilisha kiasi hiki, hivi unamaanisha majanga mengi yapi hayo ya kila siku? Au kama ni uongozi wa kiuchwara tulio nao kila siku hapo sawa hilo kweli ni janga la kila siku kinyume na hapo basi janga litakuwa ni kwenye fikra zako tu.
Bila kuingiliwa iwapo ni katika misingi ya kidemokrasia, huru na haki pasipo kukandamiza matakwa ya wananchi. Kuwanyang'anya Wananchi demokrasia kwa kutumia kura ni uhalifu pia na huu ni mkubwa zaidi. Itakuwa ni ajabu mahakama iache kusikiliza uhalifu mkubwa kama huu eti inasubiri mpaka watu...
Mwanakijjji naamni bado ni yuleyule uliyejitanabaisha kama mtetezi wa wanyonge na msimamia haki, hivyo naamini una uelewa wa kutosha kujua kwa nini nime-paste jumbe hizi kwa uzi wako unless uwe sio Mwanakijiji ulishabadilika na kuwa Mwanamjini, hapo sawa. Nilikutegemea uchambue matokeo...
Lubuva na NEC yako nawaomba muache kutuchezea watanzania hatuko mbumbumbu, muache udanganyifu huu wa wazi!!!!!
Waliopiga Kura - 15,589,639
Kura Halali ni 15,193,862
Kura zilizokataliwa ni 402,248
Jumala ya kura halali na kura zilizokataliwa ni...
Swali hilo umeulizwa, ebu jibu?
Freeland
Re: Reporters itv dar es salaam mnatuletea kata walizoshinda upinzani tu ( mnajidharaulisha)hivi tbc wanaonesha? star tv vipi?
Kiongozi mbona unajionyesha utupu wa bongo yako, sisi hatuhitaji kuona bwana ficha kidogo.
Tume inatangaza mshindi kwa mamaka ya kisheria haitoi taarifa, Maalim katoa taarifa zilizkusanywa na mawakala wake, ana haki ya kusema ni nini kimepatikana. Hii so siri ndo maana matokeo wanapewa mawakala...
Aiseeeh!!
Umenichekesha sana, kwa hiyo na wewe ni JF Great thinker.......... ahahahaaaaaa
Kazi kwelikweli, ni nini kimewachnaganya hivyo akili zenu, yaani kama mmekuwa weu ghafla
Unaongopa wakati wa kuomba kura, je siku ukiwa madarakani, ni balaa tupu huyu jamaa. Kiongozi asiye makini katika fikra zake, anataka awadumbukize watanzania shimoni kwa ulaghai
Habari ya kweli hii 👇
Lowassa:
"Sitoweza kuhudhuria mdahalo husika kwa sababu ya ufinyu wa muda ktk ratiba na uhusiano wa wahandahaji husika wa mdahalo huo na chama tawala.
Magufuli:
Naahidi nitahudhuria mdahalo kwa wakati, msiwe na wasiwasi wala sidanganyi ninasema kweli tena...
Aha ha ha haaaaaa!!! Hii nchi tamu kweli, TV's zinatunaonyesha akina ezekiel, diamond n.k. wakitoka kwenye show, leo mkuu wa majeshi ambaye amesababisha taharuki nchini, arejee kimyakimya hata tv moja imeshindwa kuka-capture hili tukio la kurejea kwake hata kwa mbali, KULIKONI????!!!! Amerejea...
Unawezaje kuandika vitu ambavyo haujui, si bora uulize uelimishwe kuliko kukurupuka, nyie ndio mnaoshangilia hata push-ups mkidhani ndo sifa ya uongozi wa nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.