Kanisa la KKKT-DKMS, viongozi walipe fedha za malimbikizo ya mishahara ya watumishi waliowahi kufanya Kazi ktk taasisi zao na wanadai malimbikizo ya mishahara yao,
Mf.shule ya Bangala seminary walimu wanadai mishahara zaidi ya miezi 20 na uongozi wa kanisa(katibu mkuu n.k) ambaye ndio mwajiri...
Katoka Munga wamekuja wengine..
Shekhe ni yule yule bali tofauti ni kanzu tu...
Walituaminisha kuwa Munga akitoka tutaenjoy lkn ndo mambo yanazidi kukaba..
Harambee zinafanyika kutulipa madeni lkn pesa inashia juu KWA juu..
Nimefanya kazi na Hawa watu na mpaka Sasa nawadai na Hawana mipango...
Ni
Shiiida...Hawa watu wa kanisa ni watu hatariii...wabinafsi mnoo viongozi..
Wanajijali wao tu..unashangaa Askofu Anakula mshahara mil 3..na anaweza kupokea mishahara miwili mfululizo wakati kuna mtumishi kwenye kituo anadai mishahara 6 jumla ni sh.2 millions na asipewe hata mia
Kuna vituo mbalimbali wa vituo vya kanisa kama vile Lwandai sekondari, Bangala seminari watumishi waliopo hapo wanateseka na hawalipwi kwa wakati ilikhali viongozi wa Dayosisi wanaishi maisha murua na naamini wanapeana posho kubwa kubwa..
Pia viongozi wa kanisa wakipunguza safari za hapa na...
Walichimba madini katika maeneo ya kanisa na mpaka Sasa pesa hazieleweki zilienda wapi...wanadai ati hawakupata kitu wakati tuliokuwepo pembeni tuliona wakitorosha madini na fedha...mkurugrnzi wa uchumi na mipango kapiga fedha ya kufa mtu..🤣🤣🤣..
Kuna mianya mingi ya upigaji kkkt..so dini siku...
ACHA papigwe mnada tu Ili tulipwe pesa zetu..
Maana viongozi wa Dayosisi ni wapigaji tu na wanajijali wao...KWA kifupi viongozi wa kanisa ni Matapeli 🤣🤣🤣
Michango ya washarika inapigwa na Viongozi wakubwa wa kanisa..
Unakuta Askofu anazunguka huko ulaya na familia yake bila Tija..
Hulk KKKT-DKMS nina uzoefu nao mkubwa maana hata mimi nawadai pesa nyingi kutokana na kazi niliyowafanyia..lakini mpaka leo sijalipwa.
Zaidi utasikia tu viongozi...
Uongozi wa Kkkt Dayosisi ya kaskazini mashariki (KKKT-DKMS) wasidhulumu haki za watumishi wa Lwandai sekondari na Bangala seminari n.k
Ni miaka kadhaa umepita tangu uongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri-DKMs ubadilishwe toka kwenye uongozi wa Dr. Munga kwenda kwa Ask. Dr Mbilu Msafiri, na...
binafsi
dayosisi
hawataki
kaskazini
kkkt
kulipa
madeni
mashariki
michango
mishahara
mishahara ya walimu
mshahara
ndogo
nssf
sekondari
shule
shule binafsi
wake
walimu
yangu
🤣🤣🤣..shule binafsi hizihizi ninazozijua?..
Nowadays huko private schools hata mishahara hakuna bali kuna posho..
Kuna shule ni mali ya kanisa mkoani tanga - bumbuli na lushoto watumishi hawajalipwa KWA miezi zaidi ya kumi..wanadai madeni makubwa..nwa wakifuata uongozi wa kanisa wanapewa majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.