Recent content by kyakakombo

  1. kyakakombo

    Natafuta wanaozalisha inzi aina ya Black Soldier kwa ajili ya uzalishaji wa funza

    Sidhani kama nahitaji mtaji mkubwa ninachotaka nianze kuzalisha kidogo kidogo kwa ajiri ya kujifunza nikishaweza napanua mradi kwa ajili ya uzalishaji mkubwa
  2. kyakakombo

    Natafuta wanaozalisha inzi aina ya Black Soldier kwa ajili ya uzalishaji wa funza

    H Weka namba hapa mkuu hii fursa wengi wanaitafuta mtu wako atapata wateja
  3. kyakakombo

    Natafuta wanaozalisha inzi aina ya Black Soldier kwa ajili ya uzalishaji wa funza

    Wadau Amani iwe kwenu Nimefuatilia kwa wenzetu huko Nigeria wanaozalisha funza agotti) kwa ajiri ya chakula cha kuku kwa kutumia inzi waitwao Black Soldier Nauliza kwa hapa Tanzania wapi naweza kupata hawa inzi ili nitumie kwenye ufugaji wangu wa kuku
  4. kyakakombo

    Hiki ni kiwango kilichopitiliza cha Ukatili kwa watoto

    Hata biblia imeandika "Mtoto usimnyime mapigo" Watoto wanapaswa kuhadhibiwa wanapokosea cha muhimu adhabu isipitilize ikageuka ukatili kwa Mtoto Binafsi sio mwislamu ila suala la adhabu kwa Mtoto akizingua naliunga mkono
  5. kyakakombo

    Kuku wangu wa mayai wamegoma kutaga wanaelekea week ya 19

    Ni kuku wa kampuni gani? Mi niliuziwa kuku toka Burundi mpk wamefikisha miezi Saba kuku 1000 wanataga mayai 250 nikaamua kuwauza kwa hasara maana wameishia kunenepeana na kutaga mayai yasiyo na uwiano wa shape
  6. kyakakombo

    Paul Makonda mbali na mapungufu yote ya kibinadamu huyu ni kiongozi mbunifu sana, anatufaa 2030 awe Rais

    Labda akawe kiongozi nyumbani kwako Jamaa anatumia matatizo ya watu kupaisha jina lake kwake yupo Tyr uhai wa watu upotee CCM ishinde hii sio poa
  7. kyakakombo

    Anayejua ubora wa smartphone za Kingkong

    Wakubwa naomba kwa mwenye uzoefu na hii simu anipe ABC nimeikuta sehemu nimependa tu ukubwa wa betri ila mambo mengine sijajua naomba kwa ambaye ameshatumia au anatumia anipe ubota/udhaifu wake
  8. kyakakombo

    Halotel mmekutwa na nini?

    Waombe topup ili mambo yaende kwa mwendo huu tutakimbia wengi
  9. kyakakombo

    Halotel mmekutwa na nini?

    Ni karibu week ya pili mtandao wa Halotel unasumbua huku kanda ya Ziwa lakini hamtuambii nini tatizo. Hebu tuambieni maana MB zetu mpaka zinaisha muda wake network hakuna ikija inakaa dakika kadha inapotea tena Tunaomna mseme chochote ili tujue
  10. kyakakombo

    Wapemba Mungu anatuona, nakataliwa kuoa kisa nimekulia Bara

    Samahani mkuu wewe unatokea Mkoani,Chakechake au Wete ?maana maeneo ya Chokocho,Kengeja na Konde ndo wana Tabia hizo
  11. kyakakombo

    Naombeni msaada kujua jinsi ya kupandisha (kupiga window) kwenye computer bila kutumia CD

    Mimi Laptop yangu imezingua ghafla nimeiwasha window ikafunguka vizuri tu ila cursor inarukaruka haitembei nakaamua kuboot wakati inawaka window haijafunguka mazima inaniambia "No bootable disc' msaada wakuu.
  12. kyakakombo

    Je Media Council of Tanzania wanaweza wakawa na ' Uthubutu ' kama huu wa Media Council of Kenya nchi ikichafuliwa Kimataifa?

    Kwenye nchi yenye Uhuru wa vyombo vya habari hilo linawezekana lakini kwa hapa kwetu sio rahisi maana hakuna mahusiano mazuri kati ya wadau wa habari na serikali
Back
Top Bottom