Ukiangalia suala la udanganyifu wa mitihani ya drs la 7 kwa shule za umma serikali inaweza ikawa imechangia kwa kiasi kikubwa. Sababu kubwa ni posho za walimu wakuu laki 2 ambapo walimu wakuu ambao wataonekana kutofanya vizuri kwenye matokeo ya drs la 7 wako hatarini kupoteza nyadhifa zao pamoja...
Hayo ni maisha binafsi ya mtu kwani yeye hupendi kuboresha kitumbua chake,inawezekana 2020 akapta shavu la kuzunguka na msafara wa Mgombea wa ccm akakumbukwa ikulu
Nikiwa mjini musoma majuma kadhaa yaliyopita niliweza kupata hbr zake na kipindi hicho ulikuwa ujio wa mkuu wa kaya,Alitengeneza fitina kuwa wahusika ambao ni watumishi wa serikali wametumia vibaya jina la mkuu wa kaya na kusababisha wahusika kuwekwa ndani.Nilipofatilia kwa makini jambo hili...
Huyu si mwingine ni ripota wa ITV kutoka mkoa wa Mara George Marato, Inabidi serikali imwangalie mwandishi huyu kwa jicho la 3 amekuwa akibabikizia watu kesi zisizo na ushahidi kupelekea wahusika kuwekwa ndani,amekuwa akitumia kofia yake ya ukada wa chama cha mapinduzi kama mwenyekiti wa kata ya...
Nafkr mambo yanayoendelea ya wabunge na madiwani kuachia nyadhifa zao kisa tu kuwa na mahaba na mkuu wa kaya inabidi ujiulize!! Ni kweli ni haki kikatiba mtu anao uhuru wa kuhamia chama chochote akitakacho.Lkn inaathari kwa sisi walipa kodi pesa ambazo zingeenda kwenye maendeleo ya taifa hili...
Na mm napenda haki lkn Mush ninachotaka kukwambia watanzania tumejengwa ktk maadili ya uoga,hofu na unafiki na ndivyo vinalimaliza taifa,Na hili ukiliangalia kwa undani linaanzia ngazi ya familia, Hata makazini tunakofanya kazi linatawala sana mnaweza kupanga jambo la lenye kuleta tija lkn sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.