Kitendo cha Spika Ndugai kuamua kutangaza mkopo wa Mbunge Mheshimiwa Lema hadharani kimedhihirisi jinsi Bunge linavyozidi kukosa ustaarabu.
Lakini pia kinyume na Katiba ya nchi ibara ya 16 na sheria inayosimamij mabenki wateja wao, zote hizo zilinda haki ya faragha.
Inawezekana Spika amejua Mkopo wa Lema ama kwa nafasi yake lakini pia inawezeka benki iliyomkopesha Lema imevujisha siri ya mteja wao.
Hoja yangu nikuwa Mheshimiwa Lema hana redress ya kisheria kuhusu huku kuikwa kwa maksudi kwa faragha yake?
Lakini pia kinyume na Katiba ya nchi ibara ya 16 na sheria inayosimamij mabenki wateja wao, zote hizo zilinda haki ya faragha.
Inawezekana Spika amejua Mkopo wa Lema ama kwa nafasi yake lakini pia inawezeka benki iliyomkopesha Lema imevujisha siri ya mteja wao.
Hoja yangu nikuwa Mheshimiwa Lema hana redress ya kisheria kuhusu huku kuikwa kwa maksudi kwa faragha yake?