Kwisaro
Member
- Mar 28, 2018
- 30
- 45
Ukiangalia suala la udanganyifu wa mitihani ya drs la 7 kwa shule za umma serikali inaweza ikawa imechangia kwa kiasi kikubwa. Sababu kubwa ni posho za walimu wakuu laki 2 ambapo walimu wakuu ambao wataonekana kutofanya vizuri kwenye matokeo ya drs la 7 wako hatarini kupoteza nyadhifa zao pamoja na posho!Hivyo hivyo kwa maafisa elimu kata.Kwa upande wa maafisa elimu hofu yao ni kushushwa madaraka. Kwa upande wa shule binafsi wao wako kibiashara ili waonekane wamefanya vizuri ili kupata idadi kubwa ya wanafunzi.Tusilaumiane hayo ndio matokeo ya BIG RESULT NOW