Huyu mzee anazeeka vibaya, keshachoka huyu anafikiri siasa za enzi ya chama kimoja ni sawa na siasa za sasa. Ndo maana huwa anashindwa kila mara kwenye chaguzi za ubunge jimboni kwake kawa sababu hana hoja za kuwashawishi wapiga kura wake
Malisa, naomba kuuliza wengine wanasema sawa alipata division four, lakini alirisiti mitihani yake na kumuwezesha kuwa na sifa ya kujoin university, hivi ni kweli?
Unajua mtu anapoongea kuhusu kutapeliwa, kama hujawahi tapeliwa huwezi amini lakini omba yasikukute, hata nyasi ikikugusa utakuwa unahisi kama unataka kutapeliwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.