Recent content by Kwetu Masoko

  1. K

    Humphrey Polepole na Kaimu Katibu Mkuu UVCCM, bifu lenu linaiua UVCCM

    Waache watafunane wao kwa wao si yetu nacho
  2. K

    IKULU, DAR: Rais Magufuli afanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya Barrick Prof. John L. Thornton

    Ha ha ha ha Miss usinifurahishe, naomba nami nichagulie kwa niaba iwe rangi ya silva
  3. K

    Kasaka: KUB Mbowe na CHADEMA hakuna maono Bungeni, wanawasaliti wananchi kususia bunge!

    Huyu mzee anazeeka vibaya, keshachoka huyu anafikiri siasa za enzi ya chama kimoja ni sawa na siasa za sasa. Ndo maana huwa anashindwa kila mara kwenye chaguzi za ubunge jimboni kwake kawa sababu hana hoja za kuwashawishi wapiga kura wake
  4. K

    Kauli za WanaCCM "Hatutaki Vilaza Vyuo Vikuu" zawatokea puani leo

    Malisa, naomba kuuliza wengine wanasema sawa alipata division four, lakini alirisiti mitihani yake na kumuwezesha kuwa na sifa ya kujoin university, hivi ni kweli?
  5. K

    Ole Sendeka kama Wapambe wa Kim Jong-Un,Ne Win,Idd Amin na Enver Hoxa

    Naona umewagonga nyundo ya utosini hao!
  6. K

    Naibu spika ashangazwa na wabunge wa upinzani kutoka nje

    sasa mbona wanapowasilisha yale ambayo wananchi wanayataka yeye huyaondoa, sioni hapo anamaanisha nini?
  7. K

    Hii ndio dawa ya kukomesha vurugu Bungeni

    Akili yako ndogo!
  8. K

    Kitila Mkumbo awashangaa Upinzani wanaotetea vihiyo

    Tangu lini Kitila Mkumbo akawa mwenyekiti wa ACT-Wazalendo
  9. K

    Lissu, Zitto, Lema, Mdee, Bulaya na Gekul kuitikisa nchi kwa mikutano mfululizo!

    Nguvu ya dola kamwe haiwezi kushindana na nguvu ya umma!
  10. K

    Jinsi nilivyowahi kutapeliwa, Wewe je?

    Unajua mtu anapoongea kuhusu kutapeliwa, kama hujawahi tapeliwa huwezi amini lakini omba yasikukute, hata nyasi ikikugusa utakuwa unahisi kama unataka kutapeliwa!
  11. K

    CHADEMA bila ya Tundu Lissu Bungeni ni sawa na Real Madrid bila ya Christian Ronaldo

    Nimeshatahadharisha kwamba Wakudadavuwa ni mkurupukaji!
  12. K

    KUB Mbowe kitanzini Dodoma,wafuasi wamuonya asiposusa kweli watampopoa!

    Naona mwandishi ya habari hii kakurupuka!
Back
Top Bottom