Recent content by Kwetu farm solutions

  1. Kwetu farm solutions

    Tunajenga: Mabwawa, Mabanda ya kisasa ya kuku na nguruwe

    Uko sahihi. Tangazo lina maana kwa wale wanaoelewa kile Nachokizungumza. Kwa kifupi ni kuwa wakati wewe unatafuta picha za kuangalia katika post, kuna watu wanauziwa vifaranga wa sato na kambale na wengine wanaanza ujenzi wa mabwawa au mabanda kupitia kwetu. Sioni sababu ya kuingilia mtazamo...
  2. Kwetu farm solutions

    Tunajenga: Mabwawa, Mabanda ya kisasa ya kuku na nguruwe

    Ni kipi unachohitaji kujua labda? Tuna kazi nyingi tunazofanya na ambazo zinaktuweka busy muda mwingi. Siyo kwamba tunapenda kukwepa maswali mengi ila muda wa kuyajibu ni finyu maana ukianza kujibu kila case, muda unaotumika ni mwingi na ndiyo maana tunashughulika na wanaopiga. Kama unakwazika...
  3. Kwetu farm solutions

    Tunajenga: Mabwawa, Mabanda ya kisasa ya kuku na nguruwe

    Utapeli upi tena mkuu? Unatapeliwa vipi katika biashara kama hii? Acha mawazo hasi. Ingawa tahadhari siyo kitu kibaya, ulipaswa kuwa na solid ushahidi kabla ya kuhitimisha tuhuma zako.
  4. Kwetu farm solutions

    Tunajenga: Mabwawa, Mabanda ya kisasa ya kuku na nguruwe

    Hiyo picha siyo ya google. Sheria zinakataza.
  5. Kwetu farm solutions

    Tunajenga: Mabwawa, Mabanda ya kisasa ya kuku na nguruwe

    Hiyo Picha ya Avatar ni mojawapo ya mabwawa tuliyowahi kujenga,unaweza kuiangalia. Pia wale wanaoomba kupatiwa picha tunawatumia.
  6. Kwetu farm solutions

    Tunajenga Mabwawa ya samaki na Mabanda ya kuku

    Sawa,umeeleweka. Tutajitahidi kuyafanyia kazi maoni yako!
  7. Kwetu farm solutions

    Tunajenga Mabwawa ya samaki na Mabanda ya kuku

    Hii siyo topic ya leo Mkuu, inakaribia miezi sita saba sasa, si kila siku tunakagua thread zetu za zamani labda kama uki PM.
  8. Kwetu farm solutions

    Hivi nyama ya chui inaliwa?

    Huyo ni huyu. Ni aina ya paka wa porini waliotapakaa sana Tanzania ila huonekana kwa nadra sana kwenye maeneo ya makazi ya watu.
  9. Kwetu farm solutions

    Hivi nyama ya chui inaliwa?

    Huyo kama siyo Chui, nikimwona uso nitawaambia kitu! Jamii ya paka ni kubwa
  10. Kwetu farm solutions

    Nihame tena, nimewachanganya mabinti 3

    Hiyo ni vita na namna rahisi ya kuiresolve siyo kukimbia, mfuate kila mmoja kwa muda wake umfungukie juu ya uhalisia wa mambo na dhumuni lako la kuwatema na kubaki na mother house. Mwambie mother house ukweli na nia yako ya kutulia na peke yake maana unapenda n.k Kama wakiendelea kusumbua, kaa...
  11. Kwetu farm solutions

    Tunajenga: Mabwawa, Mabanda ya kisasa ya kuku na nguruwe

    Nielezee kwa kifupi kile unachohitaji.
  12. Kwetu farm solutions

    Tunajenga: Mabwawa, Mabanda ya kisasa ya kuku na nguruwe

    Mfano kama eneo ni la kwenye bonde lenye matope, mchanga wenye maji yaliyo juu au maji yaliyo mbali, au mlimani, au ndani ya maji ya bwawa, kando ya mto n.k
Back
Top Bottom