Recent content by Kweltu

  1. K

    GE2020 Bernard Membe achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo

    Haswaa! Ni wehu ati mtu kudhani peke yake ndani ya chama chake ndiye anafaa kuwa raisi. Na wengine wakaenda mbali zaidi kwa kutoa form ya mgombea mmoja tuu.
  2. K

    Makazi ya Mungu ni yapi? Yupo katika umbo lipi? Kwanini hakuna tangible proof ya uwepo wa Mungu

    Aisee.. hayo mawazo si ya mkristo au yeyote amwaminiye Mungu Mwenyezi.. usifikirie kuwa mambo flani hayawezekani kwa mtazamo wa akili za binadamu zenye ukomo.
  3. K

    Kama kweli Mungu yupo inabidi aniombe msamaha

    See Kabla ya maangamivu huja kiburi. Kwa maneno yako umeonesha kiburi. Lakini Mungu ni wa rehema.
  4. K

    CCM tukumbushane majimbo yaliyotopea kwa umaskini baada ya kuongozwa na upinzani ili tuyakomboe tukianza na Rombo

    Maendeleo hayana chama. Kama kuna jimbo halikuendelea kwa sababu si la sisiemu, basi, kuna unafiki mahali.
  5. K

    GE2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

    .. 'kuweza kuwa raisi' siyo 'kuwa raisi', ni kutekeleza matakwa ya wanaichi kwa mjibu wa sheria za nchi.
  6. K

    Hussein Mwinyi kukosa Kura zote za Zanzibar za Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) inafikirisha sana. Haki ya Wazanzibar kuchagua iko Wapi?

    Kilichokuwa siri ndio hicho kimewekwa wazi,simple. Ukikana unaleta ukweli wa kwako.
  7. K

    Nimeamini sasa if free and fair election is on the ground, CHADEMA will shine!

    Embu weka wazi, umeaminishwa na nini sasa!
  8. K

    Ilikuwa ni vigumu kwa 'unafiki' wa Kagame kuendelea kuwa rafiki wa Magufuli

    ..Ustumie maneno ya kuudhi bwana..
  9. K

    Ilikuwa ni vigumu kwa 'unafiki' wa Kagame kuendelea kuwa rafiki wa Magufuli

    Ma Mie nadhani Madikiteta wote ni wanafiki
  10. K

    Ndege ya Serikali yatua kwa mara ya kwanza Chato

    Naona magofu, nini maana yake?
  11. K

    GE2020 Askofu Gwajima ameonesha njia, wanaompinga hawana hoja

    Hakuna shida kiongozi wa kidini kufanya shughuri za kisiasa. Shida ni kuwa na ndimi mbili. Huyu ndg anasahau alichosema tena madhabahuni. Anajipinga huyu. Na hapoo.... aaa... bila shaka anataka kuwapima wapiga kura. Yeyote atakayepinga haya atolee kwanza ufafanuzi wa maneno ya awali ya mchungaji.
  12. K

    Barabara imefungwa kutoka Mbeya hadi Tunduma kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 10 ili kupisha msafara wa Waziri Mkuu

    Swala la kufunga barabara saa kadhaa ati anatarajiwa kupita kiongozi huwa linaniachia mtazamo hasi juu ya viongozi, huwasababisha kukwama kwa mambo mengi.
Back
Top Bottom