Afrika kuikimbilia dawa ya Madagascar na kuilaani WHO inatuhujumu kunathibitisha haya

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,814
18,807
Dawa ya Madagascar ilipotangazwa kuwa inatibu bila kuwepo hata majaribio ya standard, WHO hawakubaliana nayo, nchi kadhaa za Africa na TZ ikiwepo waliagiza dawa hiyo huku wakidai WHO inatuhujumu,

Tukadai wameikataa kwa kuwa sio ya Wazungu, Leo hii Madagascar hali ya Corona imekuwa mbaya, visa vipya na vifo vimeongezeka Hadi wamefanya lockdown

Hili linazidi kuthibitisha kuwa Waafrika wengi tunapekekeshwa kwa mihemko badala ya Sayansi na logic.

Waafrika tunapenda kukifanya victim kila wakati kuwa matatizo yetu yanasababishwa na Wazungu kumbe 99% ya matatizo yetu Ni sisi wenyewe

Vita za wenyewe kwa wenyewe tunasema zinasababishwa na wazungu eti ili watuibie rasilimali zetu, kumbe ujeuri, upumbavu na tamaa zetu ndio kisababishi Cha Vita za wenyewe kwa wenyewe hapa Afrika

Mitano ipo mingi Ila nitatoa miwili

Mfano wa kwanza: hapo Sudan Kusini viongozi wake licha ya kupatanishwa sana na jamii ya kimataifa wamekuwa wakivunja makubaliano ya amani Mara kwa Mara huku wananchi wao wakiteseka na bado tunalaumu Wazungu

Mfano Mwingine: 2017 Kenya walifanya Uchaguzi kidogo waingie kwenye Vita na kutaka kuigawanya nchi,
maBalozi wa Uingereza na Marekani wakamsihi Odinga kiongozi wa Upinzani aache mpango wa kujiapisha na wakae chini na Uhuru wakubaliane, Ila mabalozi hao walitukanwa na kuambiwa wanaingilia siasa za ndani za nchi japokuwa baadae ushauri wao ulifuatwa
Ni wazi kuwa Kenya wangepigana Vita bado Wazungu wangelaumiwa kuwa ndio wamechochea ili waibe rasilimali au democracy yao ndio imesababisha vita, hatutaki kuichukua responsibility kwa matatizo yetu Bali kulaumu tu Wazungu
 
Hiyo juisi (shurubati) ya Madagascar kuna VIPs nchi fulani walijinywea, na kuwanyima wanyonge... unawapa ujumbe gani.?

Avoid hangovers, stay drunk!
 
Dawa ya Madagascar ilipotangazwa kuwa inatibu bila kuwepo hata majaribio ya standard, WHO hawakubaliana nayo, nchi kadhaa za Africa na TZ ikiwepo waliagiza dawa hiyo huku wakidai WHO inatuhujumu,

Tukadai wameikataa kwa kuwa sio ya Wazungu, Leo hii Madagascar hali ya Corona imekuwa mbaya, visa vipya na vifo vimeongezeka Hadi wamefanya lockdown

Hili linazidi kuthibitisha kuwa Waafrika wengi tunapekekeshwa kwa mihemko badala ya Sayansi na logic.

Waafrika tunapenda kukifanya victim kila wakati kuwa matatizo yetu yanasababishwa na Wazungu kumbe 99% ya matatizo yetu Ni sisi wenyewe

Vita za wenyewe kwa wenyewe tunasema zinasababishwa na wazungu eti ili watuibie rasilimali zetu, kumbe ujeuri, upumbavu na tamaa zetu ndio kisababishi Cha Vita za wenyewe kwa wenyewe hapa Afrika

Mitano ipo mingi Ila nitatoa miwili

Mfano wa kwanza: hapo Sudan Kusini viongozi wake licha ya kupatanishwa sana na jamii ya kimataifa wamekuwa wakivunja makubaliano ya amani Mara kwa Mara huku wananchi wao wakiteseka na bado tunalaumu Wazungu

Mfano Mwingine: 2017 Kenya walifanya Uchaguzi kidogo waingie kwenye Vita na kutaka kuigawanya nchi,
maBalozi wa Uingereza na Marekani wakamsihi Odinga kiongozi wa Upinzani aache mpango wa kujiapisha na wakae chini na Uhuru wakubaliane, Ila mabalozi hao walitukanwa na kuambiwa wanaingilia siasa za ndani za nchi japokuwa baadae ushauri wao ulifuatwa
Ni wazi kuwa Kenya wangepigana Vita bado Wazungu wangelaumiwa kuwa ndio wamechochea ili waibe rasilimali au democracy yao ndio imesababisha vita, hatutaki kuichukua responsibility kwa matatizo yetu Bali kulaumu tu Wazungu
Na awamu hii tuna mtu anayependa mambo ya kienyeji kuliko.
 
Dawa ya Madagascar ilipotangazwa kuwa inatibu bila kuwepo hata majaribio ya standard, WHO hawakubaliana nayo, nchi kadhaa za Africa na TZ ikiwepo waliagiza dawa hiyo huku wakidai WHO inatuhujumu,

Tukadai wameikataa kwa kuwa sio ya Wazungu, Leo hii Madagascar hali ya Corona imekuwa mbaya, visa vipya na vifo vimeongezeka Hadi wamefanya lockdown

Hili linazidi kuthibitisha kuwa Waafrika wengi tunapekekeshwa kwa mihemko badala ya Sayansi na logic.

Waafrika tunapenda kukifanya victim kila wakati kuwa matatizo yetu yanasababishwa na Wazungu kumbe 99% ya matatizo yetu Ni sisi wenyewe

Vita za wenyewe kwa wenyewe tunasema zinasababishwa na wazungu eti ili watuibie rasilimali zetu, kumbe ujeuri, upumbavu na tamaa zetu ndio kisababishi Cha Vita za wenyewe kwa wenyewe hapa Afrika

Mitano ipo mingi Ila nitatoa miwili

Mfano wa kwanza: hapo Sudan Kusini viongozi wake licha ya kupatanishwa sana na jamii ya kimataifa wamekuwa wakivunja makubaliano ya amani Mara kwa Mara huku wananchi wao wakiteseka na bado tunalaumu Wazungu

Mfano Mwingine: 2017 Kenya walifanya Uchaguzi kidogo waingie kwenye Vita na kutaka kuigawanya nchi,
maBalozi wa Uingereza na Marekani wakamsihi Odinga kiongozi wa Upinzani aache mpango wa kujiapisha na wakae chini na Uhuru wakubaliane, Ila mabalozi hao walitukanwa na kuambiwa wanaingilia siasa za ndani za nchi japokuwa baadae ushauri wao ulifuatwa
Ni wazi kuwa Kenya wangepigana Vita bado Wazungu wangelaumiwa kuwa ndio wamechochea ili waibe rasilimali au democracy yao ndio imesababisha vita, hatutaki kuichukua responsibility kwa matatizo yetu Bali kulaumu tu Wazungu
Kosa kubwa alilolifanya huyo anayeitwa Mungu ni kummumba Mwafrika! Nimemaliza!
 
Alieanzisha Uzi huu hawajui wazungu! We endelea kuwaamini kivyako, usiwashawishi na wengine kukubaliana na mawazo yako! Kwa ufahamu mdogo uliyonao kamwe huwezi/hautajua mambo ya wazungu! Yaani kuamua vita tu tayari ni wema? Kwa nini usifikirie kwamba wamewekeza sana huko vita itahatarisha/itaua viwanda vyao? Masikini wa kufikiri were!
 
Alieanzisha Uzi huu hawajui wazungu! We endelea kuwaamini kivyako, usiwashawishi na wengine kukubaliana na mawazo yako! Kwa ufahamu mdogo uliyonao kamwe huwezi/hautajua mambo ya wazungu! Yaani kuamua vita tu tayari ni wema? Kwa nini usifikirie kwamba wamewekeza sana huko vita itahatarisha/itaua viwanda vyao? Masikini wa kufikiri were!
wazungu sio malaika, lakini matatiuzo mengi ya Waafrika yanaletwa na Waafrika wenyewe na kwasingizia wazungu,
mifano nimesema ipo mingi ila Kenya nilitioa kama sample tu, nchi za Burundi, Rwanda, Nigeria, DRC kumertokea vita ambazo sababu yake kuu ni Waafrika kushindwa kukaa wenyewe na kuongea, inatokana na pride ya viongozi, tamaa na ubabe
Hilo la Madagascar ni mfano wa juzi tu ulio wazi wa akili za Waafrika wengi za kulaumu kila kitu badala ya ku face matatizo, na mfano sahihi ni wewe,
 
Chanzo cha habari kuwa idadi ya wagonjwa na vifo vya Covid-19 Madagascar inaongezeka, vinginevyo ni "fake thrad"
 
Alieanzisha Uzi huu hawajui wazungu! We endelea kuwaamini kivyako, usiwashawishi na wengine kukubaliana na mawazo yako! Kwa ufahamu mdogo uliyonao kamwe huwezi/hautajua mambo ya wazungu! Yaani kuamua vita tu tayari ni wema? Kwa nini usifikirie kwamba wamewekeza sana huko vita itahatarisha/itaua viwanda vyao? Masikini wa kufikiri were!
Ila sio kila tatizo la afrika tuwalaumu wazungu, yaani kiongozi wa nchi yupo madarakani anatesa raia wake, ukisema tu umepotezwa, kitu demokrasia mlichokubaliana hataki hata kukisia, anajilimbikizia mali huko ulaya, hadi wazungu wanasema, kutoka madarakani kwa sanduku la kura hataki, karibia 60% ya bajeti ya nchi yake inatoka kwa hao wazungu, tatizo linaanza pale hao wazungu wanapoanza kumkosoa waziwazi, ndio utasikia hao wanataka kuleta vita ili wauze siraha zao kweli?!!! Wao watajipenyeza kwenye madhaifu yenu. Na mitazamo ya wananchi wa sasa sio kama miaka ile ya 60's, kuwa utawaburudha tu bila kupata upinzani hili viongozi wengi wa afrika bado hawalioni. Hiyo SOUTH SUDAN, mwanzoni walimuona kama ali bashir ndio tatizo kwao, sawa, juhudi zikafanyika wakajitenga, haya yako wapi? Tamaa za viongozi wa kiafrika tu.
 
Ila sio kila tatizo la afrika tuwalaumu wazungu, yaani kiongozi wa nchi yupo madarakani anatesa raia wake, ukisema tu umepotezwa, kitu demokrasia mlichokubaliana hataki hata kukisia, anajilimbikizia mali huko ulaya, hadi wazungu wanasema, kutoka madarakani kwa sanduku la kura hataki, karibia 60% ya bajeti ya nchi yake inatoka kwa hao wazungu, tatizo linaanza pale hao wazungu wanapoanza kumkosoa waziwazi, ndio utasikia hao wanataka kuleta vita ili wauze siraha zao kweli?!!! Wao watajipenyeza kwenye madhaifu yenu. Na mitazamo ya wananchi wa sasa sio kama miaka ile ya 60's, kuwa utawaburudha tu bila kupata upinzani hili viongozi wengi wa afrika bado hawalioni. Hiyo SOUTH SUDAN, mwanzoni walimuona kama ali bashir ndio tatizo kwao, sawa, juhudi zikafanyika wakajitenga, haya yako wapi? Tamaa za viongozi wa kiafrika tu.
Waambie mkuu
 
Watu wanaumiza vichwa kutafuta Dawa
Alafu anatokea mtu anasema eti kakoroga mzizi gani sijui+majani ya muembe Dawa tayari

Ova
 
Mkuu Kama huwajui wazungu Bora ukae kimya tu. Mzungu Ni mwema sana ukimwangalia usoni au kusikilizwa maneno yake ila nyuma ya pazia ni mtu hatari sana.

Amini nakwambia, kwamba hakuna vita za wenyewe kwa wenyewe ambazo hazina vinasaba na mzungu.

Lengo lake Ni kuifanya Africa iendelee kuwa chini huku ikiitegemea ulaya kwa kila kitu.

Niambie ni mwafrika gani mwenye uwezo wa kununua silaha za kivita na kuingia msituni kupigana na serikali kwa muda wa miaka kadhaa.

Hata misaada inayotolewa na wazungu inakuwa si kwa ajili ya kukuletea maendeleo. Bali ya kukuingiza kwenye mtego ili iendelee kuwa victim wa matakwa yake.
 
Wazungu wameipeleka covid mpya Madagascar.
Kweli wameipeleka,kama hapa kwetu walivyotuletea hawa watu.

EW8qnErWsAg6PJE.jpeg

2386138_IMG_20200501_201451.jpg
 
Mkuu Kama huwajui wazungu Bora ukae kimya tu. Mzungu Ni mwema sana ukimwangalia usoni au kusikilizwa maneno yake ila nyuma ya pazia ni mtu hatari sana.

Amini nakwambia, kwamba hakuna vita za wenyewe kwa wenyewe ambazo hazina vinasaba na mzungu.

Lengo lake Ni kuifanya Africa iendelee kuwa chini huku ikiitegemea ulaya kwa kila kitu.

Niambie ni mwafrika gani mwenye uwezo wa kununua silaha za kivita na kuingia msituni kupigana na serikali kwa muda wa miaka kadhaa.

Hata misaada inayotolewa na wazungu inakuwa si kwa ajili ya kukuletea maendeleo. Bali ya kukuingiza kwenye mtego ili iendelee kuwa victim wa matakwa yake.
, kwa hiyo hizo silaha wanawekewa mkononi na kulazimisha wapigane?
Nimetoa mfano wa Sudan Kusini ambapo viongozi wake wanapatanishwa kila kukicha wanakataa, wakipigana mtalaumu Tena wazungu? Kuuza silaha Ni suala la soko huria ambalo kuidhibiti ni ngumu, watu Wananunua kwa kutaka hawalazimishwi
Misaada Kama unaona inadumaza pia hulazimishwi,
na hiyo dawa ya Madagascar WHO walikuwa wakiwahujumu? Au Wazungu wamepandikiza virusi vipya Madagascar baada ya wao kupata dawa ya kuua vya zamani?
 
Mkuu Kama huwajui wazungu Bora ukae kimya tu. Mzungu Ni mwema sana ukimwangalia usoni au kusikilizwa maneno yake ila nyuma ya pazia ni mtu hatari sana.

Amini nakwambia, kwamba hakuna vita za wenyewe kwa wenyewe ambazo hazina vinasaba na mzungu.

Lengo lake Ni kuifanya Africa iendelee kuwa chini huku ikiitegemea ulaya kwa kila kitu.

Niambie ni mwafrika gani mwenye uwezo wa kununua silaha za kivita na kuingia msituni kupigana na serikali kwa muda wa miaka kadhaa.

Hata misaada inayotolewa na wazungu inakuwa si kwa ajili ya kukuletea maendeleo. Bali ya kukuingiza kwenye mtego ili iendelee kuwa victim wa matakwa yake.

Yaani hao waafrika wamekaa kizuzu tu wanapelekeshwa na mzungu. Anawatuma kuanzisha vita na kuuana. Wao wanaitikia tu. Anawauzia silaha. Wananunua tu. Anawaibia rasilimali. Wanamsaidia tu. We can’t be that stupid, deliberately.

Ni kama vile tumeamua kujifanya mitoto mijinga isiyoweza kuwajibika. Tuache tamaa za kiswahili. Kwa nini hao wazungu wenyewe hawadanganywi na kuibiwa kama sisi? Wametuzidi akili? Hii ni dunia ya survival for the fittest. Mababu zetu walichukuliwa utumwani tena kwa kuuzana wenyewe kwa wenyewe kwa “wazungu”. Leo hii tunaendelea na tamaa zile zile za kijinga kujiibia na kuwekeza kwenye mabenki ya ulaya huku tukilia eti “tumeibiwa na wazungu”!
 
Back
Top Bottom