Recent content by kwekwelah

  1. K

    Natoka kimapenzi na shangazi yangu

    Me la saba naogopa kukushauli,degree holder..ivi kwa bongo kuwa na degree ni ajabu sanaa du...haiingiliani kabsa na mada.
  2. K

    Yaliyojiri Tuzo za EATV kutoka Dar es Salaam

    NINACHOKIONA KWA WCB,WAKO VIZURI SANA LAKINI TATIZO WANATOA NYIMBO NYINGI SANA 4A SHORT TME,HADI MASHABIKI WANASHINDWA KUFANYA CHOICE,INAKUWA KAMA WANAZISAHAU IVI
  3. K

    Hizi tabia 'hutaweza fanikiwa milele'

    Ya pili umekosea huwa ni usemi ttu ambao upo,lakini ukitumia ndugu ni bora zaidi,jarbu kuangalia biashara za wahindi,waarabu na baadhi ya makabila hapa bongo kama wakinga,wachaga na n.k
  4. K

    Ziara za wakristo kwenda nchi ya Israel

    Mtoa mada hajielewi na dhahiri hana dini ni mpagani,,unauliza wanarudi na nn,kama ungekuwa islamic wanaotaka maka wanarudi na nn.....shame on u
  5. K

    Wanawake wakati mwingine, hapana jamani!

    Sio wanawake tu,hata men kunajamaa kanipgia cmu anakopa hela,sikuwa na hela hvyo nikambia sina,jamaa kaninunia eti hadi leo.
Back
Top Bottom