Recent content by Kwatozakuku

  1. K

    Usiyoyajua Kuhusu Nyerere: Shuleni Alikuwa Toto Tundu!, Almanusura Afukuzwe Tabora School!

    Sahihi: Mama Mgaya alikuwa mke wa Tano. Kwa wakati kwa mujibu wa tamaduni na mila za kizanaki mke mkubwa alikuwa na mamlaka ya kumchagulia mke mwingine Chifu au mumewe. Alikuwa akiona binti mdogo ambaaye hajafikia umri wa utu uzima akipendezwa naye anapeleka pendekezo kwa mzee na mzee akikubali...
  2. K

    Usiyoyajua Kuhusu Nyerere: Shuleni Alikuwa Toto Tundu!, Almanusura Afukuzwe Tabora School!

    Namba 5 ninamashaka nayo kwa mujibu wa kumbukumbu kwenye kitabu cha Nyerere of Tanzania kwa simulizi zake Mwl. Ukristo alianza alikiwa Mwisenge kwa kuhudhuria mafundi ya Jumanne na Alhamis lakini alikuwa hamwamini mwl wa somo kwani alikuwa na ndevu nyingi lakini pia bado alikuwa na imani yake ya...
  3. K

    Nyerere sio mwanzo wa historia ya ukombozi wa Tanganyika

    Kama wewe ni mtanzania je unaijua siku ya Mashajaa. Kama unaijua akinani wanakumbukwa? Huwa kuna zana gani kuashiria ukombozi? Je katika vita ya majimaji alipigana Kinjekile peke yake na kwanini akumbukwe yeye na wengine je? Ukipata majibu ya haya maswali baadhi ya hoja zako zitakuwa zimejibiwa.
  4. K

    Siku ya Mwl Nyerere inakumbusha na kulisaidiajekulisaidiaje kulijenga Taifa letu la Tanzania

    Karibia historia nzima ya Mwalimu imehifadhiwa katika jengo hili Makumbusho ya Mwl.J.K.Nyerere Mwitongo-Butiama. Hao ni walimu na wanafunzi waliofika katika makumbusho hayo kujifunza zaidi kuhusu maisha ya Mwalimu
  5. K

    Siku ya Mwl Nyerere inakumbusha na kulisaidiajekulisaidiaje kulijenga Taifa letu la Tanzania

    [ Mwalimu na Elimu ya Watu Wazima ambapo yeye mwenyewe ilishiriki kufundisha elimu hiyo
  6. K

    Ni kweli fimbo ya Mwalimu Nyerere alipewa zawadi Nigeria?

    Baba wa Taifa ilikuwa ni kawaida kwake kuwa fimbo mahali popote wakati wa uhai wake. Mwalimu hakuwa na fimbo moja kama watu wanavyodai bali alikuwa na fimbo nyingi ambazo zingine zimo kwenye makumbusho yake Butiama. Mwalimu kabla ya kuwa raisi wa Tanganyika na wakati wa kupigania uhuru alikuwa...
  7. K

    Mifuko ya Hifadhi za jamii ipo sahihi kuondoa fao la kujitoa

    Kuzuiwa kwa fao la kujitoa ni ujanja ambao wengi wetu hatuujui ambopo ukiuangalia kwa undani zaidi kuna siri ambayo imefichwa. Kwanini leo hii fao la kujitoa lizuiwe mbona haikuwa zamani? Ninachokiona hii mifuko ya jamii iko kwenye hali mbaya kifedha kwa mantiki kubwa kuwa wanachama wengine ni...
  8. K

    Walioandaa mgomo UDSM kuadhibiwa

    Usiandike kishabiki kwa mawazo ya kukomoa bali shauri namna kurekebisha tatizo
  9. K

    Chuo cha ualimu Kleruu kukatiwa huduma za umeme na maji ni halali?

    Chuo cha Ualimu Klerruu kiko mjini Iringa chenye kutoa mafunzo ya Ualimu kwa ngazi ya cheti na diploma ambacho pia chuo kikongwe hapa nchini na kimetoa walimu wengi sana wa masomo ya sayansi. Lakini chuo hiki ni kwa muda mrefu kimekuwa kikikatiwa huduma za umeme na maji na kwa muda huu chuo...
  10. K

    TUCTA na Vyama vya Wafanyakazi, huu ndo muda wa kutetea wafanyakazi. Acheni kuwa mabubu, hali mbaya

    ACHA WAKATWE TU MAANA HAKUNA NAMNA TENA WALIKUWA HATUSIKILIZI SISI WA CHINI TUNAPODAI KUONGEZA MISHAHARA YETU. AU WEWE UMMOJA WAO WANAOLIPWA HAYO MAMILIONI NINI UNAJIFANYA KUWA UMFANYAKAZI WA CHINI. JIWE LIMERUSHWA GIZANI NAONA LIMEKUPATA. HAO VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI KILA MARA WALIKUWA...
  11. K

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    mleta mada nadhani hukuwa na kuleta au unataka kuonekana tu kwamba umeleta mada! Huenda hats historia ya nchi hujui Na Mwl. aliipokea ikiwa katiaka hali gani! Mwl. alushaondoka hata ukimsema vbaya inatusaidia mini Na kama alifanya mabaya Mbona taasisi nyingi zinaenda kwa jina lake? Kabla ya...
  12. K

    Rais Magufuli ateua Wakurugenzi Wakuu wa NSSF, TBC na Shirika hodhi la reli (RAHCO)

    Wasio na Panda hapo Darini hawana nafasi kwa awamu hii? Ngoja tuone!
  13. K

    Balozi alipompigia magoti Magufuli leo Ikulu

    Hakuna cha ajabu hapo maana ulijua anaenda kuonana na mpush ambapo taratbu zao za kusalimiana ziko hivyo kwa kaka au baba Na watu wengine wanaomzidi umri
  14. K

    Watu 4 watiwa ndani baada kuzomea msafara wa Dr. Shein kisiwani Pemba

    Mbona majina yenyewe ni familia moja tena watatu ni watoto ambao kwa kosa hilo hawastahili kuwekwa ndani
  15. K

    Walimu wanavyoibiwa na CWT & PSPF

    Hili nakuunga Mkono cwt kwa kweli hakina msaada kwa Mwalimu katika kudai haki zake zikiwemo kusoma. Eti viongozi wanasema kusoma sana kwa Mwalimu hakuna maana mwisho ni bachela tu zaidi ya hapo ni mapambo. Huwa najiuliza hela hii ya walimu nani anaudhibiti na taarifa yake mbona huwa haitoki...
Back
Top Bottom