Usiyoyajua Kuhusu Nyerere: Shuleni Alikuwa Toto Tundu!, Almanusura Afukuzwe Tabora School!.

Wanabodi,

Leo tunapomkumbuka Mwalimu, naombeni niwadokolee machache kumhusu mwalimu ambayo sidhani kama wengi mliyafahamu, na kama wapo ni yale waliyoyafahamu kwa kuyasikia tuu lakini hayajaandikwa popote!.
  1. Baba yake alikuwa ni Chifu na alikuwa na wake 22!. Jee unawafahamu ndugu wengine wa Nyerere kwa Upande wa Baba!. Hawa Julius Kambarage Nyerere (JK-Nyerere), Joseph Kizurira Nyerere (JK Nyerere), na John Kiboko Nyerere (JK Nyerere), hawa ni ndugu wa Tumbo moja. Jee ndugu wengine wa Mwalimu kwa hao wake wengine 22 wa baba yake ni kina nani?.
Pasco.
Andrew Nyerere
 
Lala Salama NYERERE , ulikuwa mfano wa kuigwa, hukuwahi kupigana bungeni, hukuwahi kuchukua mke wa mtu, hukuwahi kuhamasisha vurugu(mf maandamano yasiyo na tija). Ulale salama baba yetu!
Hapa ulikua bado hujalamba matapishi yako
 
Namba 5 ninamashaka nayo kwa mujibu wa kumbukumbu kwenye kitabu cha Nyerere of Tanzania kwa simulizi zake Mwl. Ukristo alianza alikiwa Mwisenge kwa kuhudhuria mafundi ya Jumanne na Alhamis lakini alikuwa hamwamini mwl wa somo kwani alikuwa na ndevu nyingi lakini pia bado alikuwa na imani yake ya asili ambayo ilikuwa imetawala fikira zake pia alikuwa anamwogopa babaye endepo angekuwa mkristo.

Alibatizwa baada ya kutoka Tabora school katika misheni ya Nyegina Desemba, 1942 na kuchagua jina la Julius ambalo yeye mwenyewe anasema Mtakatifu Julius sio maarufu lakini anaamini watakatifu wote ni wema.

Babaye alifariki mwaka 1942 alizaliwa mwaka 1860 na mamaye Mwl alizaliwa mwaka 1892 alifariki mwaka 1997. Hivyo ukiangalia wazee wa Mwl. waliishi miaka mingi.
 
Wenye akili wote mfano Nyerere, Tundu Lissu, Freeman Mbowe, Nelson Mandela, Robert Mugabe nk. ni wakaidi sana ama watukutu...

In fact siyo WAKAIDI kwa maana ya neno lenyewe, bali ni watu ambao watakuhoji ukitaka kuwaletea ujinga, mfano hawawezi kuona mtu katoka mbugani huko kuchunga ng'ombe halafu akaja mjini na akataka kuongoza nchi kijingajinga tu halafu wamwache, lazima watamhoji na akiendelea na ujingajinga wake watampachika tu jina au majina - ndo hapo tukapata majina Dikteta Uchwara au Juma
 
Namba 5 ninamashaka nayo kwa mujibu wa kumbukumbu kwenye kitabu cha Nyerere of Tanzania kwa simulizi zake Mwl. Ukristo alianza alikiwa Mwisenge kwa kuhudhuria mafundi ya Jumanne na Alhamis lakini alikuwa hamwamini mwl wa somo kwani alikuwa na ndevu nyingi lakini pia bado alikuwa na imani yake ya asili ambayo ilikuwa imetawala fikira zake pia alikuwa anamwogopa babaye endepo angekuwa mkristo. Alibatizwa baada ya kutoka Tabora school katika misheni ya Nyegina Desemba, 1942 na kuchagua jina la Julius ambalo yeye mwenyewe anasema Mtakatifu Julius sio maarufu lakini anaamini watakatifu wote ni wema. Babaye alifarika mwaka 1942 alizaliwa mwaka 1860 na mamaye Mwl alizaliwa mwaka 1892 alifariki mwaka 1997. Hivyo ukiangalia wazee wa Mwl.waliishi miaka mingi.
Mkuu Kwato za Kuku, baba wa Mwalimu Nyerere, Chief Burito alikuwa na wake 22. Mama Christina Mugaya wa Nyang'ombe ambaye ndiye mama yake Mwalimu alikuwa ni mke wa 4. Jee watoto wengine wa hao wake 21 ni kina nani? .
Pasco
Andrew Nyerere
Manyerere Jackton
 
Wanabodi,

Leo tunapomkumbuka Mwalimu, naombeni niwadokolee machache kumhusu mwalimu ambayo sidhani kama wengi mliyafahamu, na kama wapo ni yale waliyoyafahamu kwa kuyasikia tuu lakini hayajaandikwa popote!.

  1. Baba yake alikuwa ni Chifu na alikuwa na wake 22!. Jee unawafahamu ndugu wengine wa Nyerere kwa Upande wa Baba!. Hawa Julius Kambarage Nyerere (JK-Nyerere), Joseph Kizurira Nyerere (JK Nyerere), na John Kiboko Nyerere (JK Nyerere), hawa ni ndugu wa Tumbo moja. Jee ndugu wengine wa Mwalimu kwa hao wake wengine 22 wa baba yake ni kina nani?.
  2. Kumbe Mwalimu alibahatika kusoma kwa bahati tuu!. Ndugu wengine wote kwa Baba, ukiachia wa tumbo la Mama yake, waliishia kuchunga mbuzi!.
  3. Baba yake, alikataa Ukristo kata kata!. Wamishenari walipomshawishi kuachana na dini asili na kujiunga na Ukristo, aliwauliza Ukristo una nini ambacho dini za asili hazina!. Walimjibu, Upendo, Amani, Unyenyekevu, Utii, Haki etc, aliwajibu tena kwa mifano hai jinsi wanavyohubiri Upendo, Amani, Unyenyekevu, Utii na Haki.
  4. Alianza shule akiwa na miaka 12, na darasani alikuwa na akili sana hivyo akarushwa baadhi ya madarasa!.
  5. Akiwa Tabora School ndipo alipo pokea Ukristo kwa kubatizwa jina la Julius ambalo alilicopy toka kwa Julius Ceaser!
  6. Akiwa Tabora School, alikuwa ni mtoto mkaidi sana!. Adui zake wakuu walikuwa ni ma prefects!. Alishitakiwa mara kadhaa kwa mwalimu mkuu na ukafikia wakati Mwalimu Mkuu akamaamua Julius afukuzwe shule!. Mwalimu wake wa darasa licha ya utundu wake, alimpenda sana kwa sababu alikuwa na akili sana!. Hivyo akamnusuru kufukuzwa shule kwa kumfanya na yeye awe prefect!.
Source ni Mwalimu Mwenyewe katika mahojiano na mwandishi Mzungu yaliyofanyika mwaka 1964 mara baada ya muungano!.

Jee na wewe, kuna yoyote ya mwalimu unayoyajua na hayaandikwa popote, ungependa ku share na sisi?!.

Pasco.
Alipenda kucheza bao sana hata alipokuwa ikulu. Asili ya yeye kupenda bao ni kwasababu ndio lililosababisha yeye kupelekwa shuleni miongoni mwa watoto wa chifu Burito.
Chifu Makongoro alikuwa ni miongoni mwa watu waliougundua uhodari wa Mwl Nyerere katika bao kwani alishindana naye Mara kadhaa bila mafanikio pale alipokuwa akimtembelea chifu Burito. Baada ya kuutambua kipaji hiki chifu Makongoro alimshawishi chifu Burito kumwandikisha Mwl Nyerere shule.
Hiyo ndiyo sababu ya kupenda bao na kumuita mmoja wa watoto wake jina la Makongoro. source: Masimulizi ya Makongoro Nyerere
 
Kuna kisa kimoja nilihadithiwa. Wakati Mwalimu akiwa ziarani Asia alimuachia ofisiKawawa kama ilivyo ada. Mkuu wa majeshi (jina kibindoni) akamfuata na kumshawishi Kawawa aweke Wanajeshi kama Walinzi kwenye maeneo kama Ikulu, airport na maeneo mengine muhimu, tena akampa mfano wa Nchi kadhaa zenye mfumo huo.

Kawawa bila kujua akawa ameridhia, lakini Mwalimu akaumwa sikio na Vijana wa state.
Akapanda ndege na kurudi haraka Nchini. Akiwa airport akamwambia Kawawa " Rashidi wewe ni Makamu wa Rais siyo Makamu amiri jeshi Mkuu".

Kilichofuata huyo Mkuu akapelekwa ubalozini fasta!!
 
mwendelezo au ukoo wa hao 22 uko wapi? au wako wapi?
Naomba mkimjibu pasco mni cc na mimi nione
 
Akiwa Tabora School ndipo alipo pokea Ukristo kwa kubatizwa jina la Julius ambalo alilicopy toka kwa Julius Ceaser!
Unaamanisha kuwa alikosa radhi na ridhaa ya wazazi wake? Ndio maana akawa hadaa wazanzibari kuwa atabadilisha dini na kuwa muislamu na kuanza kuvaa baraghashia, mpaka Marehemu Jumbe alipomshtukia na kutaka kuachana nae kabisa, lakini alikuwa ameshachelewa.
Akiwa Tabora School, alikuwa ni mtoto mkaidi sana!. Adui zake wakuu walikuwa ni ma prefects!. Alishitakiwa mara kadhaa kwa mwalimu mkuu na ukafikia wakati Mwalimu Mkuu akamaamua Julius afukuzwe shule!. Mwalimu wake wa darasa licha ya utundu wake, alimpenda sana kwa sababu alikuwa na akili sana!. Hivyo akamnusuru kufukuzwa shule kwa kumfanya na yeye awe prefect!.
Kumbe ndio maana alipenda sana ukubwa, na hata alipoukosa uenyekiti wa OAU baada ya kubwagwa kwa kura kule Adis Ababa akaanza kuunanga na kujenga uadui na viongozi wa nchi nyengine hasa wale wanaochaguliwa kuwa weneviti wa OAU.

Kumbe Nyerere alikuwa mbabe tokea utotoni na ubabe wake aliuelekeza Zanzibar na hupoa akipewa madaraka.Mwl. alikuwa rahisi kuutia ulimi kinywani mwake mwenyewe(unafiki), pale aliposema na kumwambia Colen Legarb wa ‘London Observer’(1965)kwamba ikiwa Wazanzibari watataka kuuvunja Muungano, sitawapelekea majeshi ‘I will not bomb them’ Sasa ni kinyume chake,hata uchaguzi wa demokrasia tunapelekewa majeshi.
 
Unaamanisha kuwa alikosa radhi na ridhaa ya wazazi wake? Ndio maana akawa hadaa wazanzibari kuwa atabadilisha dini na kuwa muislamu na kuanza kuvaa baraghashia, mpaka Marehemu Jumbe alipomshtukia na kutaka kuachana nae kabisa, lakini alikuwa ameshachelewa.
Kumbe ndio maana alipenda sana ukubwa, na hata alipoukosa uenyekiti wa OAU baada ya kubwagwa kwa kura kule Adis Ababa akaanza kuunanga na kujenga uadui na viongozi wa nchi nyengine hasa wale wanaochaguliwa kuwa weneviti wa OAU.

Kumbe Nyerere alikuwa mbabe tokea utotoni na ubabe wake aliuelekeza Zanzibar na hupoa akipewa madaraka.Mwl. alikuwa rahisi kuutia ulimi kinywani mwake mwenyewe(unafiki), pale aliposema na kumwambia Colen Legarb wa ‘London Observer’(1965)kwamba ikiwa Wazanzibari watataka kuuvunja Muungano, sitawapelekea majeshi ‘I will not bomb them’ Sasa ni kinyume chake,hata uchaguzi wa demokrasia tunapelekewa majeshi.
Hakuna Muislam safi anayeweza kumsingizia Al marhum!.
Muungano uliingiwa kwa maombi ya Zanzibar, hivyo hata mkiamua leo mnataka kuondoka, you can just walk away, asichotaka Mwalimu ni kufuatwa kwa taratibu na sio kuleta mambo ya kiujanjaujanja kama ule wa Dourado aliotaka kumdanganya Jumbe hadi yakamkuta ya kumkuta.

Pasco
 
Wanabodi,

Leo tunapomkumbuka Mwalimu, naombeni niwadokolee machache kumhusu mwalimu ambayo sidhani kama wengi mliyafahamu, na kama wapo ni yale waliyoyafahamu kwa kuyasikia tuu lakini hayajaandikwa popote!.

  1. Baba yake alikuwa ni Chifu na alikuwa na wake 22!. Jee unawafahamu ndugu wengine wa Nyerere kwa Upande wa Baba!. Hawa Julius Kambarage Nyerere (JK-Nyerere), Joseph Kizurira Nyerere (JK Nyerere), na John Kiboko Nyerere (JK Nyerere), hawa ni ndugu wa Tumbo moja. Jee ndugu wengine wa Mwalimu kwa hao wake wengine 22 wa baba yake ni kina nani?.
  2. Kumbe Mwalimu alibahatika kusoma kwa bahati tuu!. Ndugu wengine wote kwa Baba, ukiachia wa tumbo la Mama yake, waliishia kuchunga mbuzi!.
  3. Baba yake, alikataa Ukristo kata kata!. Wamishenari walipomshawishi kuachana na dini asili na kujiunga na Ukristo, aliwauliza Ukristo una nini ambacho dini za asili hazina!. Walimjibu, Upendo, Amani, Unyenyekevu, Utii, Haki etc, aliwajibu tena kwa mifano hai jinsi wanavyohubiri Upendo, Amani, Unyenyekevu, Utii na Haki.
  4. Alianza shule akiwa na miaka 12, na darasani alikuwa na akili sana hivyo akarushwa baadhi ya madarasa!.
  5. Akiwa Tabora School ndipo alipo pokea Ukristo kwa kubatizwa jina la Julius ambalo alilicopy toka kwa Julius Ceaser!
  6. Akiwa Tabora School, alikuwa ni mtoto mkaidi sana!. Adui zake wakuu walikuwa ni ma prefects!. Alishitakiwa mara kadhaa kwa mwalimu mkuu na ukafikia wakati Mwalimu Mkuu akamaamua Julius afukuzwe shule!. Mwalimu wake wa darasa licha ya utundu wake, alimpenda sana kwa sababu alikuwa na akili sana!. Hivyo akamnusuru kufukuzwa shule kwa kumfanya na yeye awe prefect!.
Source ni Mwalimu Mwenyewe katika mahojiano na mwandishi Mzungu yaliyofanyika mwaka 1964 mara baada ya muungano!.

Jee na wewe, kuna yoyote ya mwalimu unayoyajua na hayaandikwa popote, ungependa ku share na sisi?!.

Pasco.

Kuna hii hapa. niliipata kijiweni " Inasemekana Wakati anasoma shule alikuwa hataki kuzidiwa marks na mwanafunzi yoyote, yeye tu ndio alikuwa anataka aongoze na kwa sababu alikuwa na akili nyingi sana, alikuwa anaongoza mitihani yote na kushika namba moja wakati. Ikitokea bahati mbaya umemzidi hata alama moja, basi hakusemeshi semister nzima, wala kufanya discussion yoyote na wewe. Atakuja kuongea na wewe matokeo yatakapo kuwa yametoka na awe amekuzidi.

SOURCE : MZEE MMOJA ( R.I.P) MKAAZI WA MAGOMENI, AMBAYE ANADAI ALISOMA NA NYERERE..( Sina uhakika kama ni kweli au ni uzushi wa yule mzee )
 
Kuna hii hapa. niliipata kijiweni " Inasemekana Wakati anasoma shule alikuwa hataki kuzidiwa marks na mwanafunzi yoyote, yeye tu ndio alikuwa anataka aongoze na kwa sababu alikuwa na akili nyingi sana, alikuwa anaongoza mitihani yote na kushika namba moja wakati. Ikitokea bahati mbaya umemzidi hata alama moja, basi hakusemeshi semister nzima, wala kufanya discussion yoyote na wewe. Atakuja kuongea na wewe matokeo yatakapo kuwa yametoka na awe amekuzidi.

SOURCE : MZEE MMOJA ( R.I.P) MKAAZI WA MAGOMENI, AMBAYE ANADAI ALISOMA NA NYERERE..( Sina uhakika kama ni kweli au ni uzushi wa yule mzee )
Sidhani kama ni uzushi Nyerere alikuwa tuu serious hivyo kwa watu serious hawataki ujinga ujinga. Kuna wakati alimchunia Iddi Amini, Banda wa Malawi, Jomo Kenyatta hadi kuichunia Uingereza.
Pasco
 
Wengi pia hamjui ya kwamba biological father wa mwl. JKN alikuwa Msukuma! Wakuu msinipige mawe humu ndani, huo ndo ukweli wa mambo! Natamani niwe na uwezo wa kuandika kitabu nikiite Mwl. JK.NYERERE- HISTORIA ILIYOPOTOSHWA! Bahati mbaya natumia simu ningeandika!
Kwa mtu unayejua kusoma na kuandika halafu unaweka mambo makubwa hadharani kama haya huku ukiwa hauna ushahidi ni aibu
 
Kwa mtu unayejua kusoma na kuandika halafu unaweka mambo makubwa hadharani kama haya huku ukiwa hauna ushahidi ni aibu
Naunga mkono hoja.
Mambo ya hearsay hayakubaliki katika mambo ya Familia. Mambo mengine ni top family secret mtu unaipata kwa privilege hivyo don't abuse privileged info that were meant for private kwa kuzileta kuwa public.
Pasco
 
Back
Top Bottom