Recent content by Kwamhuzi

  1. K

    Waziri Mkuu apiga marufuku matumizi ya Shisha nchini

    Kikwete alipokuwa haongei mlimsema,hawa wanasema mnawasema,kweli Watanzania hamna jema.Very sad indeed.Mfanyiwe nini?
  2. K

    Katibu UVCCM Shaka H. Shaka: Tuko tayari kwa mapambano na BAVICHA

    Wanachogombea ni nini hasa.Very stupid indeed.Laiti wangejua they are fighting for something they don't even know!
  3. K

    Kesi za Mafisadi zitakuwa za Mwendokasi. Hazitazidi miezi 9

    Usizunguushe Watanzania akili.Maana ya fisadi iko wazi.Kama wewe hujui tafuta kamusi ya kiswahili.Sisi walala hoi tunajua maana ya fisadi kwa kuwa wametuumiza sana.Huwezi kujua maana ya fisadi kama wewe ndiye uliyefisidi.
  4. K

    Mkono Advocates wafungiwa ofisi na TRA kwa kudaiwa kodi Sh. Bilioni 1.1

    TRA nao mengine wanaya-entertain.Kwa nini wasubiri mpaka kodi ifikie kiwango hicho?Huo ni uzembe.Serikali kwa pesa hiyo ingekuwa imeshafanya mengi tu kwa ajili ya wananchi.Who ever is responsible kwa uzembe huo awajibishwe!We cannot go on like that.
  5. K

    TANZIA: Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo afariki dunia

    Something is seriously wrong with our world! R.I.P Beatrice,you are too young to die.
  6. K

    Msaada: Nimetoa pesa kwenye ATM haikutoka ila salio la awali limepungua

    Hayo mambo huwa yanatokea,ni ya kawaida sana!Ingia ndani na risiti inayoonyesha balance,waone, watakusaidia mara moja.Pesa yako itarudi.Computer imekosea tu.
  7. K

    Kuwatumia watalaam toka Rwanda ni kudharau watalaam wa Tanzania

    The president has done the right thing.Watanzania tulio wengi tunawaza madili tu,sio quality work.Na pia our competence is extremely low,kwa kuwa elimu yetu imechezewa sana.Katika mazingira hayo,ni bora kwa sasa tukatafuta wataalam kutoka nje, huku tukimpa Dr.Ndalichako na wengine watakaokuja...
  8. K

    DAR: RC Makonda atangaza vita dhidi ya mashoga. Atishia kuzifuta asasi zinazowatetea!

    Sikatai Makonda kupata presidential appointment,ila ni mtu ambaye ana mihemko sana.Frankly mkuu wa kaya angemjaribu kwanza kama Mkuu wa Wilaya.Wote tu mashahidi jinsi alivyo-misbehave huko nyuma hasa kuhusiana na vyama vya upinzani.Haya yanayotokea sasa yanatuhakikishia kwa mara nyingine tena...
  9. K

    Suala la Hospitali ya CCBRT linasikitisha sana!!!

    All in all inaelekea kuna tatizo kubwa mahali hapa.Ni vema serikali ikaliangalia swala la CCRT kwa undani.Kuna mambo mengi hayako sawa.
  10. K

    Ugonjwa wa ajabu Dodoma watu 6 wapoteza maisha

    Ngoja tusubiri tuone ni kitu gani.Hata hivyo taarifa za kiintelijensia zinatonya kwamba yameshaandaliwa magonjwa ya ku-wipeout entire nations.Mungu atusaidie sana.Ebola itakuwa cha mtoto.
  11. K

    Kasi ya uzazi mzigo mkubwa kwa uchumi wa Tanzania, Sheria itungwe

    Jamani mnawapa taarifa Illuminati tena kwamba mbinu zao zote za kutuua kwa visukari.magonjwa yasiyotibika kama Ebola,Zika,Cholera, Ukimwi,vita,vyandarua vilivyotiwa sumu,njaa,vidonge na mbinu zingine za uzazi wa mpango,chanjo nk.havijafanikiwa kutuua!Ninyi vipi?Ngoja sasa waongeze dozi, mtakoma.
  12. K

    Serikali imesitisha ajira zote na nyongeza za mishahara nchini

    Kama ufahamu wako ni wa naweza "ajiliwa" sahau "kuajiriwa" pamoja na uzuri wako!Magu anataka watu mahiri sio vihiyo.
  13. K

    Maaskofu Pentekoste waiomba Serikali kulifuta Kanisa la Askofu Gwajima

    He is a self proclaimed man of God,he is not a man of God.Nadhani ana Mungu mwingine anayemtumikia sio Mungu wa Yakobo.
  14. K

    Serikali yatoa siku 14 kila mwanafunzi awe anakaa kwenye dawati na madarasa mazuri

    Halimashauri zote nchini ni majipu.Ni bora tu wakawa sehemu ya serikali kuu,wakusanye mapato,wayawakilishe hazina, halafu wagawiwe.In that way itakuwa rahisi kuwa monitor.Vinginevyo huu umungu mtu na matumizi mabaya ya fedha za serikali vitaendelea.
  15. K

    Maalim Seif: Kikwete alinambia CCM inaniogopa nitavunja Muungano

    Very flimsy reason indeed.Ni sheria ipi ya uchaguzi inayosema kwamba mgombea akijitangazia ushindi mapema matokeo ya uchaguzi yanatenguliwa?Kama ipo iweke wazi tafadhali.
Back
Top Bottom