Jamani mnawapa taarifa Illuminati tena kwamba mbinu zao zote za kutuua kwa visukari.magonjwa yasiyotibika kama Ebola,Zika,Cholera, Ukimwi,vita,vyandarua vilivyotiwa sumu,njaa,vidonge na mbinu zingine za uzazi wa mpango,chanjo nk.havijafanikiwa kutuua!Ninyi vipi?Ngoja sasa waongeze dozi, mtakoma.