Hivi akili za wabunifu propaganda ndipo zilipofikia hivi? Ufalme ukifitinika hata kuwe na propaganda za namna gani wananchi hawawezi kuamini . Mamlaka zinazohusika tafuteni chanzo cha tatizo mshughulike nalo si kufanya vioja na kucheza na akili za watu,haisaidii
Hivi akili za wabunifu propaganda ndipo zilipofikia hivi? Ufalme ukifitinika hata kuwe na propaganda za namna gani wananchi hawawezi kuamini . Mamlaka zinazohusika tafuteni chanzo cha tatizo mshughulike nalo si kufanya vioja na kucheza na akili za watu,haisaidii
Ni sawa kama kuna hoja za msingi;uzuri utazipeleka huko kwenye vikao na maamuzi ya vikao yataamua. Nilichomuelewa makamu amesema afuate utaratibu wa kuomba kurejea na wahusika watachuja na kutoa maamuzi
Unachokisema kinakosa nguvu kwa sababu ya wimbi la utekaji kwa wakosoaji. Kuminywa kwa haki,mikataba ya Kimangungo wasovero. Haya yakiwekwa sawa hoja yako itakua ya maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.