Walikosea sana kushiriki uchaguzi,CCM sio chama cha kufanya biashara ya siasa,hawaaminiki,ni wajanja wajanja,hawana nia ya dhati ya kubadili mfumo wa siasa kuwa level moja; watakushawishi in favor kwao baada ya kufanya makubaliano wana kuacha. Kipindi kijacho wanaweza kufanya maridhiano ya...