Sasa hivi hali ni shwari kwa sababu wanaonufaika na mfumo wa sasa nchi ya wadanganyika ni wachache na wao wanafanya hivyo wakijua kwamba hawawezi kuondoka leo au kesho:
Wamezunguukwa na wakwepa kodi ambao wanahakikisha wanafanya kila linalo wezekana aliyepo kwa kiti haondoki ili waendelee...
Sasa nani asimamie maridhiano? Mzee Butiku,askofu mkuu wa kkkkkkkkkkt,Manabii na Bakuruwatra? na upande wa vyama AAAAAAAfp na Chaumwa na wazalendo AC?:cool::cool:
Habari za uzee wako:
Nakuandikia ujumbe huu nikikusihi ufanye kila linalowezekana ukishawishi chama chako,umshawishi aliye kitini kufanya kila linalowezekana kutengeneza kijitabu ambacho kitawaongoza wananchi wadanganyika kwa kipindi kingine cha miaka 50 ijayo.
Kwa sasa hali ni mbaya ingawa...
Sidhaani kama ni kweli eti kwa sababu ya dini;mimi ni dini moja na huyo;lakini sina tabia kama za Mwaipopo,kila siku dini dini dini;mbona kuna mashekh walisota jela JPM akaja akawatoa?
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu hali ya kisiasa nchini na kile kinachoitwa maridhiano. hali hii imenifanya nitafakari jambo hili kwa muda mrefu na kuona nitoe maoni yangu kwenye forum hii ili waungwana mpime na mjiridhishe kabisa kwamba Chama Cha mapinduzi hakitaki maridhiano na hakina nia...
Kuna kila dalili kwamba amenusa hukumu ya kesho;ikiwa hivyo ndivyo kwa maoni yake yupo sawa. lakini kuna hoja itajitokeza kwenye maridhiano iwapo kweli chadema watakubali;agenda za maridhiano zitakuwa zipi? Kwa chadema hii hata wakikubali hao maridhiano hawata taka mtuhumiwa wa mauwaji asimamie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.