Recent content by Kwakivesa

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwa karata hakika, hongera tele kwa CCM

    Propaganda Kwamba hakuna utekaji uliofanywa na watu wasiojulikana? Kwamba hakuna mauwaji yaliyotokea oktoba 29 yaliyofanywa na watu wasiojulikana? Na kwamba hakuna taswira ya ccm iliyochafuka?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwa karata hakika, hongera tele kwa CCM

    Ni porojo kwamba hakuna mauwaji yaliyotokea oktoba 29 yaliyofanywa na watu wasiojulikana? Ni porojo kwamba hakuna utekaji uliofanywa na watu wasiojulikana?. Haya hayachafui taswira ya nchi?
  3. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM walifanya kosa kubwa sana kukubali kuendelea na uchaguzi mkuu bila CHADEMA

    Kweli ww ni stroke 😊😊
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwa karata hakika, hongera tele kwa CCM

    Utekaji na mauwaji ya October 29 ni doa kubwa,halifutiki,halifichiki,hata aje msukuma hapo Bado ni tatizo
  5. K

    JamiiForums Tanzania Sheikh Lema ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la ugaidi

    Watasema kazi iendelee,wanasonga mbele
  6. K

    JamiiForums Tanzania Super Sub ya Agrey Mwanri iliyofanywa na CCM itarudisha matumaini ya Wafuasi na wanachama wa CCM?

    Issue ya CCM sio kuwepo kwa watu wapya au wa zamani.Tatizo la CCM ni matendo na matukio yaliyojitokeza siku za hivi karibuni ambayo yameichafua serikali na chama chenyewe. Kwa sasa hivi hakuna kitakachoisafisha CCM;hakuna,hakuna. Kibaya zaidi wenyewe hawajui,wanafikiri ni kubadili viongozi...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kama kuna tume huru ya uchaguzi, CCM haiwezi kuishinda CHADEMA. Michango ya tonetone ni uthibitisho kamili

    Nimepita wima;sijasoma,unaandika utumbo kila siku
  8. K

    JamiiForums Tanzania Sawa Kikwete waweza kuwa huongozi nchi kwa remote ya Zanzibar lakini vetting ya 2015 itakutafuna

    Hata mimi kwako ninapita tu bila kusoma;unaandika utumbo kila siku
  9. K

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Uchizi wa kuwa na magaidi au uchizi wa kuwaandikia barua hao watu wa AFCON?
  10. K

    JamiiForums Tanzania Odero: Heche hutaki maridhiano, acha kusingizia Lissu kuwa huru

    Sasa Odero si aingie yeye kwenye maridhiano? Kwani ni lazima Heche?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia Taatlaah mwanaCCM anaihusudu CHADEMA kuliko CCM

    Mimi ni mwana CCM, lakini naipenda chadema saaana
  12. K

    JamiiForums Tanzania Baba Levo ashinda kesi ya uchaguzi.

    Walikosea sana kushiriki uchaguzi,CCM sio chama cha kufanya biashara ya siasa,hawaaminiki,ni wajanja wajanja,hawana nia ya dhati ya kubadili mfumo wa siasa kuwa level moja; watakushawishi in favor kwao baada ya kufanya makubaliano wana kuacha. Kipindi kijacho wanaweza kufanya maridhiano ya...
  13. K

    JamiiForums Tanzania KERO Namba nyingi za simu za taasisi hazipatikani, na zikipatikana hazipokelewi

    Mengine huwekwa ili ionekane ni active,lakini ukweli ni kwamba mifumo imejifia muda mrefu. Ni bosheni na kuwazuga Wadanganyika tu🤭
  14. K

    JamiiForums Tanzania KKKT Msikubali CCM iwageuze BAKWATA

    Mbona imeshakua Bakwata kitambo?
Back
Top Bottom