Recent content by Kwakivesa

  1. K

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza apendekeza njia rahisi na salama ya kuifuta CHADEMA

    Tumekua kama kwa Mu 7
  2. K

    JamiiForums Tanzania Serikali Yatangaza Hatua Kufuatia Ripoti ya Tume

    Mzaha mzaha hutumbua usaha
  3. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hii ni stage ya ngapi ya kuwaangushia CHADEMA lawama za Oktoba 29? Mmesahau kama mliwapiga ban? Safari hii hamchomoki!

    Hivi akili za wabunifu propaganda ndipo zilipofikia hivi? Ufalme ukifitinika hata kuwe na propaganda za namna gani wananchi hawawezi kuamini . Mamlaka zinazohusika tafuteni chanzo cha tatizo mshughulike nalo si kufanya vioja na kucheza na akili za watu,haisaidii
  4. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hii ni stage ya ngapi ya kuwaangushia CHADEMA lawama za Oktoba 29? Mmesahau kama mliwapiga ban? Safari hii hamchomoki!

    Hivi akili za wabunifu propaganda ndipo zilipofikia hivi? Ufalme ukifitinika hata kuwe na propaganda za namna gani wananchi hawawezi kuamini . Mamlaka zinazohusika tafuteni chanzo cha tatizo mshughulike nalo si kufanya vioja na kucheza na akili za watu,haisaidii
  5. K

    JamiiForums Tanzania Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Kushindwa Kuwa Na Vitega Uchumi Kwa Miaka 34 Na Kuishia Kuombaomba Tu Michango Inayoishia Kutafunwa hovyo

    Viwanja vya mipira walivyopora ambavyo pia wanashindwa hata kuvikarabati :D :D
  6. K

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA iliishia wapi? Eva Shayo ana majibu

    Chauma Chaumwa homa na pressure 😄😄
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ni wazi sasa Tundu Lissu amenyoosha mikono juu na kuomba kutolewa Gerezani na kuingia katika meza ya Maridhiano na mazungumzo

    Hakukua na sababu za kumjibu;huyo kiumbe ana uewao mdogo sana wa kufikiri na kujenga hoja;soma clip yake uone
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kumsamehe Halima Mdee, napingana na John Heche

    Ni sawa kama kuna hoja za msingi;uzuri utazipeleka huko kwenye vikao na maamuzi ya vikao yataamua. Nilichomuelewa makamu amesema afuate utaratibu wa kuomba kurejea na wahusika watachuja na kutoa maamuzi
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa nchini

    Haijafanya haki;imechelewa sana kutoa maamuzi hali ambayo ilisababisha CDM kuchelewa na kuikosesha kufanya siasa
  10. K

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Nchemba, hazungumzi na watanzania, anazungumza na CHADEMA

    Angeyasema haya miaka ya 2000 ingesaidia kidogo,lakini Kwa sasa wasikilizaji watapiga makofi kumshangilia Kwa kumkejeli tu🫣🫣
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kama Taifa, hatutakiwi kuwapa nafasi yoyote CHADEMA

    Upo sawa,lakini tatizo kubwa lipo kwenye katiba,katiba yetu kwa sasa haifai hata kidogo. Ingepaswa kubadilishwa hata ndani ya wiki moja.
  12. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ruvuma: Spika Mussa Zungu anataka mtoto wa Jenista Mhagama kupendekezwa Ubunge jimbo la Peramiho?

    Kwa CCM Hilo mbona ni jambo la kawaida sana. Mnashangaa nini Sasa?
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kwa macho ya kawaida utaona ni haki inagombaniwa, ila kwa taarifa za uhakika kinachopikwa ni Tanzania kuwa Congo ya pili

    Unachokisema kinakosa nguvu kwa sababu ya wimbi la utekaji kwa wakosoaji. Kuminywa kwa haki,mikataba ya Kimangungo wasovero. Haya yakiwekwa sawa hoja yako itakua ya maana
Back
Top Bottom