Kuna jengo la serikali linajengwa pale karibu na petro station karibu kabisa na kwa Masawe. Nadhani ni ofisi za Atomic. Lile ni jengo la serikali na magari ya serikali yatahusika sana. Nayahurumia sana magari ya serikali. Pale write off itakuwa si miaka 5 bali miwili. 😂
Jimbo la Kibamba tunakukaribisha tena kwenye siasa. Ukiweza 2025 njoo ugombee kabisa huku tukupe kura make mbunge wa sasa hatumuelewi kabisa. Hata barabara za Tanroads zimemshinda kuzipigania.
Kama kweli sarikali inafuatilia huu mtandao, niwaone Tanroads au wizara ya ujenzi wakijibu hii reply. "Barabara ya mbezi high school kwenda mpigi magoe kupitia machimbo inakera sana. Kwa sasa imekuwa mahandaki tupu! Karne ya 21 Tanroads ina barabara za vumbi Dar es Salaam, mkoa unaoingiza...
Hii barabara ni kero sana tena sana. Mbunge wetu anaishia kutupanga kila mara. Hii barabara isipotengenezwa mpaka 2025 tutaona hakuna tofauti kati ya mbunge huyu aliyepo na yule aliyekuwepo.
Haiwezekani barabara ikawa mbovu kiasi hiki wakati huo sisi tuna mwakilishi. Mzee Magufuli (RIP)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.