Tatizo hao wasabato hawajui impact ya kushambulia ukatoliki. Ukatoliki ukitikisika duniani na ukristu utakufa jumla, including usabato. Ni ukweli mchungu kuwa msabato au mlokole hawawezi kwenda kueneza ukristo kwenye maeneo magumu kama yale ya waislam wenye siasa kali aka wakata vichwa, ni...
Unaonekana una-kaudini fulani. Ukweli ni kwamba Nyerere alitaifisha shule zote zilizomilikiwa na wakatoliki na kuzifanya za serikali. Kama elimu ilishuka wakulaumiwa sio kanisa. Baada ya ujamaa kufa miaka ya Mwinyi, Mkapa, Kikwete hadi sasa kanisa likaruhusiwa kutoa elimu kama kipindi cha...
Thailand, USA, Canada nk bangi ni zao halali na watu wanapiga hela ndefu vibaya. Kuna haja ya kuweka sera nzuri kwenye hili zao, tunaweza ku-export kwaajili ya utengenezaji madawa nk
Kuna huu wimbo, “Bia Tamu” ni promotion ya nguvu kwa makampuni ya bia kama Tanzania Breweries Ltd na Serengeti Breweries Ltd, lakini naambiwa haya makampuni yapo kimya kabisa hata kutoa shukrani kwa wasanii husika hakuna. Shame on you kabisa kabisa
Dawa kitunguu saumu tu, asikwambie mtu, wakati na drive kila asubuhi na jioni natafuna kete mbili kwa siku kete nne hapo hata HIV haifuidafu, mradi liwe zoezi la kila siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.