nayo ni wapumbavu tu! wangepata ajali hiyo 15000 ingewafaa nn? watz kwa nn tusiwe na msimamo binafsi? wafanyakazi Wa A-Z wanavyonyanyasika kutokana na malipo kiduchu, matusi na kudhalilishwa kwa kila aina leo wanakubali kwenda kumtetea huyo mhindi wao! maskini watanzania ni link tutaondokana na...
startv ndo nn? TV station za wazalendo ni ITV SUPERBRAND na AZAM TV. startvccm hatutazamagi. ACT wazalendo wamempiga chini maana angewaulia chama, wamegundua hilo wakamtema. Ngoja amalizie xxm kuichinjia baharini.
:target:waacheni wafurahie muziki! maaana muziki unafyrahiwa popote. Kwa nifahamuvyo mimi hakuna muziki wa injili bali kuna nyimbo za injili:nimekataa tafuta huwezi kukuta nyimbo za injili zinapigwa baa maana zina ujumbe unaochoma dhambi. hivyo si rahisi mlevi kuzipenda na kuvumilia kuzisikiliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.