Wazumbe.
Tunapenda kuwataarifu kuwa alumni yetu imepata ofisi iliyopo Uchumi Project Building, Shekilango Road, Sinza.
Hivi sasa alumni iko kwenye mchakato wa kutafuta administrative assistant ambaye atakuwa mtendaji wa alumni katika ofisi hiyo. Tafadhali wahamasisheni watu wanaofaa kwa...
Happening now, Mzumbe graduation.
Message from Unguu Ramadhan as he witnesses the events unfold...
READ AND TRY TO PULL A NOSTALGIA :
FOR those who have never attended a Mzumbe graduation since they vacated the place, you have really missed something.
This is my third attendance...
Wakuu, heshima kwenu.
Ninahitaji marine boards na mbao kwa ajili ya ujenzi slab.
Iwapo unauza au unamfahamu mtu anayeuza materials hizo zilizotumika tafadhali nijulishe kupitia kwenye thread hii au inbox. Site iko Dar es Salaam Wilaya ya Temeke.
Asanteni sana.
Yaani hata hili walikuwa badi hawajui kama taifa mpaka leo?
Mukantabana said: The final outcome of our discussions was the appreciation that within the East African Community, if a problem arose, it can be discussed at a diplomatic level, and a solution worked out in a mutual manner.
Marco,
Nimefuatilia huu mjadala tangu mwanzo. Nilizani utafanya hivo muda mrefu sana.
Kuna watu wana vichwa kama nazi!
Hata hivyo asante kwa michango yako, hasa kuhusu marketing na sale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.