nilisikia kwa jamaa mmoja yeye alikuwa baharia wa zamani na mwengine ni mzee tu wa mtaani ila inavyoonekana ni ishu ya kawaida na hutokea kila baada ya kipindi fulani
Yaani mshahara wa raisi eti nimsikilize Tundu lisu ambaye alisema Lowasa fisadi alafu baadae akameza matapishi vilevile kuna kipindi alituaminisha hakuna hati ya muungano baadae serikali ilipoitoa wakabaki kimya, baadae wakamuingiza mtoto wa watu chaka kumsaidia kisheria ili atuaminishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.