Recent content by kunze

  1. kunze

    AJALI: Basi la Tanzanite lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Dar es Salaam lapata ajali Manyoni. Watano wafariki dunia

    Kinana alisema traffic polisi wapunguzwe barabarani. Huko Mashariki ya Kati wengi wanakufa Kwa vita Cha ajabu Tz tunamalizwa Kwa ajali. Sensa isubiri
  2. kunze

    Mtoto wangu kawa na uraibu wa simu janja, nimnunulie nini ili asiendelee na uraibu huu?

    Mtoto wangu mdogo mwenye umri wa miaka mitano hivi,amekuwa mraibu ( addicted) wa michezo ya simu - games. Kishajua ku- download na kuicheza. Yaani kila akiona smart fones tu anachanganyikiwa kabisa na uzalendo unamshinda kuvumilia. Hebu naombeni ushauri,nifanyeje asizidi kuharibika na uraibu...
  3. kunze

    Nimeunga mita mpya ya maji lakini inaonesha nimetumia unit 2

    Labda na kule kiwandani wakati wanaijaribusha ilihesabu uniti. Lakini jua tu hakuna Cha bure
  4. kunze

    Kamanda Muliro akanusha taarifa za uvamizi wa magari katika Daraja la Selander, Dar

    Kumekucha Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  5. kunze

    Ajinyonga baada ya kugundua ana virusi vya Ukimwi

    Hakupata watalaamu wa saikolojia mara baada ya kupima? Hapo hospital lazima unapewa elimu sahihi Kwa ajili ya kupokea aina zote mbili za majibu. Yaani hasi au chanya. Anyways, ameukosa ufalme wa Mbinguni kizembe. Sabato njema. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  6. kunze

    Dar: Jeshi la Polisi linawashikilia watu 92 kwa tuhuma mbalimbali za kihalifu

    JESHI LINAMSHIKILIA PIA MTUHUMIWA AITWAYE RENATUS GREGORY MUABHI MIAKA 53, MKAZI WA UBUNGO, KWA TUHUMA ZA KIJIFANYA AFISA WA USALAMA WA TAIFA KWA LENGO LA KUJIPATIA FEDHA KWA NJIA YA UDANGANYIFU (KUTAPELI) MAENEO MBALIMBALI ZIKIWEMO OFISI ZA SERIKALI Huyu si aliwahi kugombea urais enzi za...
  7. kunze

    Mapokezi ya Ndege za ATCL

    Naangalia hapa ZBC TV,naona top layer ya uongozi wa Tanzania,upo Zanzibar. Kwani Ikija kimya kimya bila live coverage,Kuna ubaya? Gharama kubwa sana za kuzimwagia maji
  8. kunze

    WIZI

    Toka kwa mama yangu Heriety Chumira, Habarini za asubuhi wapendwa wangu? Huyu kaka anaitwa Zuberi Auli Zuberi, binti yangu jana jioni saa 12 alirequest bolt kutoka Yombo kwenda Kinyerezi, unaporequest inatokea picha na namba ya dereva kwa bahati nzuri binti yangu alimfananisha dereva na kaka wa...
  9. kunze

    Green Card kumbe ni kweli aisee tucheze hii kitu

    Hata sijaelewa,Ina maana kapata kdi ya kundi la kigaidi au...
  10. kunze

    Anayedaiwa kuwa 'Mzee Mathias Gwajima' amtaka Dkt. Dorothy kutotumia jina la Gwajima

    Dr. Faustine Ndugulile,alitumbuliwq baada ya kusema kuwa Tiba ya kujifukiza ni hatari zaidi maana huathiri mapafu. Kwa kusema hivyo,akaondolewa. So hao wakashadadia kujifukiza Hadi akawa anapiga picha na mumewe wamejifunika blanket wakijifukiza. Hii kitalaamu ni kwamba walikataa Tiba ya...
  11. kunze

    Nini maana ya Wahafidhina?

    Wasiopenda mabadiliko hasa ya kisiasa,mfano,wanaotaka UJAMAA tu hawataki demokrasia kwamba kiongozi mmoja atawale daima na hamna katiba mpya
  12. kunze

    Huyu Waziri namtabiria muda wowote kuanzia sasa 'Kutumbuliwa' na Rais Samia, labda Nduguye 'amsalie' sana Ubungo Maji

    Huyo ni Waziri wa Afya, Dada Gwajima. Maringo saba,ndita kila neno. Dharau pande zote. Huyu ndo waziri mbishi kuliko wote waliowahi kuteuliwa kushika wizara ya Afya nchini Tanzania,naomba Mbunge Gwajima azidishe maombi ili mama asimuhukumu. Matamko yake,ni sehemu ya bezo ambazo kazipata baada...
  13. kunze

    Dodoma: Chuo kipya cha Ufundi kuanza kujengwa

    Ila kwa kawaida mji mkuu lazima uwe na rasilimali za kutosha yaani kama ni vyuo basi vuwepo vya kutosha maana idadi ya watu pia itaongezeka sana. Kwa Hilo la chuo,mm naomba waongezee sana tu. Hapa dar vyuo vipo vya kutosha kiasi kwamba vinaendana na idadi ya wakazi husika
  14. kunze

    TFF rudisheni kombe la Taifa ambapo kila mkoa ulikuwa na timu shiriki

    Taifa cup kwa sasa siyo muhimu,tuandae hizo NDO DO CUP tu zinatosha
Back
Top Bottom