Mtoto wangu mdogo mwenye umri wa miaka mitano hivi,amekuwa mraibu ( addicted) wa michezo ya simu - games. Kishajua ku- download na kuicheza.
Yaani kila akiona smart fones tu anachanganyikiwa kabisa na uzalendo unamshinda kuvumilia.
Hebu naombeni ushauri,nifanyeje asizidi kuharibika na uraibu...
Hakupata watalaamu wa saikolojia mara baada ya kupima? Hapo hospital lazima unapewa elimu sahihi Kwa ajili ya kupokea aina zote mbili za majibu. Yaani hasi au chanya. Anyways, ameukosa ufalme wa Mbinguni kizembe. Sabato njema.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
JESHI LINAMSHIKILIA PIA MTUHUMIWA AITWAYE
RENATUS GREGORY MUABHI MIAKA 53, MKAZI WA UBUNGO, KWA TUHUMA ZA KIJIFANYA AFISA WA USALAMA WA TAIFA KWA LENGO LA KUJIPATIA FEDHA KWA NJIA YA
UDANGANYIFU (KUTAPELI) MAENEO MBALIMBALI ZIKIWEMO OFISI ZA SERIKALI
Huyu si aliwahi kugombea urais enzi za...
Naangalia hapa ZBC TV,naona top layer ya uongozi wa Tanzania,upo Zanzibar.
Kwani Ikija kimya kimya bila live coverage,Kuna ubaya?
Gharama kubwa sana za kuzimwagia maji
Toka kwa mama yangu Heriety Chumira, Habarini za asubuhi wapendwa wangu? Huyu kaka anaitwa Zuberi Auli Zuberi, binti yangu jana jioni saa 12 alirequest bolt kutoka Yombo kwenda Kinyerezi, unaporequest inatokea picha na namba ya dereva kwa bahati nzuri binti yangu alimfananisha dereva na kaka wa...
Dr. Faustine Ndugulile,alitumbuliwq baada ya kusema kuwa Tiba ya kujifukiza ni hatari zaidi maana huathiri mapafu.
Kwa kusema hivyo,akaondolewa. So hao wakashadadia kujifukiza Hadi akawa anapiga picha na mumewe wamejifunika blanket wakijifukiza.
Hii kitalaamu ni kwamba walikataa Tiba ya...
Huyo ni Waziri wa Afya, Dada Gwajima. Maringo saba,ndita kila neno. Dharau pande zote.
Huyu ndo waziri mbishi kuliko wote waliowahi kuteuliwa kushika wizara ya Afya nchini Tanzania,naomba Mbunge Gwajima azidishe maombi ili mama asimuhukumu.
Matamko yake,ni sehemu ya bezo ambazo kazipata baada...
Ila kwa kawaida mji mkuu lazima uwe na rasilimali za kutosha yaani kama ni vyuo basi vuwepo vya kutosha maana idadi ya watu pia itaongezeka sana. Kwa Hilo la chuo,mm naomba waongezee sana tu.
Hapa dar vyuo vipo vya kutosha kiasi kwamba vinaendana na idadi ya wakazi husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.