GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
1. Ameingia katika Mtego wa Kujibizana na Mitandao ya Kijamii
2. Anatumia muda mwingi Kubishana badala ya kutoa Suluhisho.
3. Anataka Kumuonyesha Mtangulizi wake katika hiyo Wizara kuwa alikuwa hajui Kitu
4. Hajajua tu kuwa Mama hamtaki hapo ila anamuwinda tu amtoe na sababu imepatikana
5. Wizara yake kila Kukicha tu inakuja na Matamko ya Kujichanganya yanayoonyesha kuwa Watendaji wa hiyo Wizara hawashirikiani
6. Anaongoza Wizara ambayo Mwanadamu yoyote yule hawezi Kuikwepa kama kweli anayapenda Maisha.
7. Akiongea ni lazima akunje Uso na Ndita, ana Majibu ya Jeuri na Nyodo, anaringia mno Taaluma yake, Mjuaji na ana Dharau na kuna Barua inayosambaa sasa Mitandaoni ya Kuihusu Wizara yake ambayo naamini kuwa ndiyo inaenda Kummaliza.
Sioni kama atadumu hapo Miezi 6 ijayo.
2. Anatumia muda mwingi Kubishana badala ya kutoa Suluhisho.
3. Anataka Kumuonyesha Mtangulizi wake katika hiyo Wizara kuwa alikuwa hajui Kitu
4. Hajajua tu kuwa Mama hamtaki hapo ila anamuwinda tu amtoe na sababu imepatikana
5. Wizara yake kila Kukicha tu inakuja na Matamko ya Kujichanganya yanayoonyesha kuwa Watendaji wa hiyo Wizara hawashirikiani
6. Anaongoza Wizara ambayo Mwanadamu yoyote yule hawezi Kuikwepa kama kweli anayapenda Maisha.
7. Akiongea ni lazima akunje Uso na Ndita, ana Majibu ya Jeuri na Nyodo, anaringia mno Taaluma yake, Mjuaji na ana Dharau na kuna Barua inayosambaa sasa Mitandaoni ya Kuihusu Wizara yake ambayo naamini kuwa ndiyo inaenda Kummaliza.
Sioni kama atadumu hapo Miezi 6 ijayo.