Wajameni hii imekaaje mtu ana mke na anakua na kamchepuko bt hana wivu na mchepuko kabisa anamruhusu kuwa na mpenzi wake bt anataka amjue na awe mmoja tu.Je hapo kuna mapenzi kweli
Wadau naomba msaada,
Njia gani rahisi ya kufukuza paka ktk nyumba ninayoishi. Nilikuwa na paka mmoja jike sasa amezaa watoto wawili wa kiume ila tangu wakiwa wadogo hawakamatiki kwani ukitaka kuwakamata wanakimbilia kwenye nyumba ya jirani isiyoishi watu then baadae wanarudi. Kwa kweli...
Wadau nawasalimu wote,Ndio tunakaribia mwisho wa mwaka 2013.kuna waliotimiza ndoto zao na wengine bado wanapambana cha msingi ni kuto kukata tamaa.
Langu leo ni swala la maisha ya furaha na pesa.wengi wetu tunajua kuwa kuwa na pesa za kutosha ndio chanzo cha furaha ktk familia lakini...
kwa wataalamu au yeyote mwenye uelewa juu ya madhara ya kula nyama ya kuku wa kisasa
Naomba kujua kipi ni kibaya zaidi.Nyama.Ngozi ya juu.Mifupa au Nyama za ndani.(figo.maini na firigisi.)
Kwa kweli tukio likilo tokea ni la kihistoria na huyu kijana kama ataongozwa kidini anaweza kuja kuwa papa au kiongozi mkubwa tu wa kidini.coz tayari ameshakalia kitu cha mkubwa.Huo ni ufunuo.
Tafadhalini wakuu naomba yeyote mwenye utaalamu wa biashara hii Tanzania anipe mwongozo.nataka niijaribu kwa ujasiriamali.Kule shinyanga inatikana vp na nani ni wanunuzi wakubwa na inachukuliwa ikiwa katika hali gani.Namaliza na shukrani.
kumekuwa na tabia za walimu kunganganiza watoto wadogo wa chekechea kubaki shule na kusoma tution.jamani hii me naona ni tamaa ya walimu kupata hela za ziada na kuendelea kushusha elimu.mtoto ana miaka 3 hadi 6 anaenda shule saa 2 anatoka saa kumi.
The dealer b4 mwinyi vijana hao wazamani walikuwa fresh ebu jaribu kuangalia matajiri wa tanzania now umri wao na fedha walizo nazo je ni kwamba wamezipata kwa kipindi hicho cha mwinyi kweli na je kipindi hicho walikuwa na umri gani linganisha na vijana wengi wa sasa na hali zao.jaribu kuangalia...
Wadau naomba kuuliza hivi huu ni wizi au kawaida.unajiunga kwenye hizo huduma zao labda siku.wiki au mwezi.lakini bado kuna makato yasiyo ya msingi.Mfano unajiunga airel kwa siku unakatwa 499.unapewa dk.mb na sms.kama simu ilikuwa na salio la 700 au zaidi watatoa hiyo 499.then utaona salio sawa...
Naikumbuka hiyo mfamaji.bt hao masharo pia kuna ambao wako vizuri.me napata wasiwasi kama dereva tu wa gari la shule au anamwendesha bosi flan life lake lilikuwa la hali ya juu.lakini sasa afisa wa serikali maisha yake ya kusuasua.
Wadau najaribu kuangalia maisha yanavyokwenda naona hali si hali.lakini najiuliza hawa wazee wetu waliwezaje kufanya mambo ambayo sisi vijana naona yanatushinda hasa walikuwa waajiriwa wa serikali.
Mameneja wa bank,walimu wakuu,madereva,wafanyakazi na mameneja wa taasisi nyingi za umma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.