Tution kwa watoto wa chekechea

Tution kwa watoto wa chekechea

kunyala

Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
76
Reaction score
18
kumekuwa na tabia za walimu kunganganiza watoto wadogo wa chekechea kubaki shule na kusoma tution.jamani hii me naona ni tamaa ya walimu kupata hela za ziada na kuendelea kushusha elimu.mtoto ana miaka 3 hadi 6 anaenda shule saa 2 anatoka saa kumi.
 
Fursa mkuu,sasa mtoto atalala muda gani,atacheza muda gani hovyo kabisa.
 
kumekuwa na tabia za walimu kunganganiza watoto wadogo wa chekechea kubaki shule na kusoma tution.jamani hii me naona ni tamaa ya walimu kupata hela za ziada na kuendelea kushusha elimu.mtoto ana miaka 3 hadi 6 anaenda shule saa 2 anatoka saa kumi.

hao wanataka watoto wachukie shule...........
 
Back
Top Bottom