Mtoa mada upo sahihi ila hauweza kuona aliyofanya JK kama utakuwa ni mtu wa kukaa tu home na kusoma magazeti ya udaku
Hapo kabla kutoka dar hadi mwanza ilikuwa siku mbili hadi upitie Uganda sasa ni masaa tu
Kuna viwanda zaidi ya 10 vimejengwa barabara ya kwenda mkuranga haijawahi tokea huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.