Recent content by kunguru2016

  1. K

    Nini cha kufanya endapo utakuta dhahabu kwenye shamba au kiwanja chako?

    Ni wakati wa kupeleka mapendekezo Serikalini ili hii sheria ifanyiwe Marekebisho,haiwezekani unakuta kwenye Shamba lako kitu chochote kile halafu ww mmiliki wa Shamba hupati hata Sumni hio haipo sawa.Serikali kupitia Wizara ya Madini kutunga Sheria ili watu wenye Mashamba nao wafaidike kupitia...
  2. K

    Ujio wa Masihi Dajjal (Antichrist) Na Nabii Issa (R.A) Yesu

    Yesu huyo aliezaliwa na Mwanamke na ambaye alikuwa anahisi njaa na pia alikuwa anaenda haja au!
  3. K

    Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

    Shukran kwa ukumbusho Ndugu,mwenye kuamini na aamini na mwenye kupuuza na apuuze ila ujumbe umefikisha
  4. K

    SMZ na uchukuaji wa maeneo ya wazi (Open Space)

    Namuunga mkono Dr mwinyi kwa maamuzi yake,lile eneo linaharibu taswira ya Zanzibar kwa kuwa ile ndio View ya Wanzanzibar ila imekaa kilocal sana.Wakati umefika sasa wa kubadilisha matumizi ya eneo lile na ikiwezekana kijengwe kitu kimoja kikali sana ili muonekano wa Zanzibar ubadilike,heko Dr...
  5. K

    Nifanyeje nizoeane na majirani?

    Kama wewe ni Muislam basi jitahidi sana swala za jamaa zisikupite na ikiwa mtu wakutoka asubuhi kurudi jioni bc jitahidi swala ya asubuhi na ishai jamaa.hapo utawajua watu wote na pia utajenga nao ukaribu.
  6. K

    Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

    Tutafuteni tiba ya hili tatizo kwa kuwa likiachwa litazidi kuwa kubwa na mwisho jamii itachukulia ni kawaida tu,tufanyeni nini tuliondoe hili tatizo?jiangalie ww na jamii yako inayokuzunguka!kama sio ww basi atafanyiwa mwanao na kama sio mwanao atafanyiwa dada yako na kama sio dada yako bc...
  7. K

    Naomba muongozo wa matumizi ya dawa za jamii ya viagra

    Mkuu pole sana ila hayo yote naona una dalili za sukar,kabla hujafikiria kutumia hio midawa ya kisasa nakushauri kwanza kaangalie level ya sukari yako.kila ugonjwa una dawa isipokuwa vitu 2.uzee na umauti ila vingine vyote vinatibika
  8. K

    Fahamu utajiri wa kudumu uliojificha kwenye zao la Parachichi Mkoani Njombe

    Hio ni gharama ya ekar 1.ila uzuri wake una uhakika wa kila msimu kama shamba utalihudumia vizuri ikawa ni kitega uchumi cha kutosha kabisa.vijana tuwekeze pia ktk kilimo.kilimo kinalipa hususani hilo zao la parachichi
  9. K

    Watu wa Dar mnazidi kutuangusha upinzani, sijategemea

    Tunataka kujenga Nchi kwanza,Maendeleo kila kona.hatutaki maneno maneno.
  10. K

    Dodoma: Ubunifu na ujenzi wa bahari ya kisasa

    Tunaweza mbona ni rahisi tu.hebu fikiria ikiwa tunatoa bomba la mafuta kutoka Tanga mpaka Uganda tutashindwa kuweka mabomba makubwa tu kutoka Tanga mpaka Dodoma?Halafu tukachimba mitaro mikubwa ya kama ile ya mfereji wa suez huko misri.la muhimu pasiwe na mahitaji ya muhimu kabisa ndio uamue...
  11. K

    GE2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

    Kwani kwenda kusikiliza sera ndo kuwa mfuasi wa chama,hujui naweza kwenda mikutano yote na nikabaki na msimamo wangu.Maendeleo kwanza majaribio baadae
  12. K

    Mambo 10 nilioyaona kwenye Simba Day

    Usitoke jasho la kwapa nafasi bdo zipo za kuwa na hisa ndani ya club.Muhindi ama 49 na club ina 51.club inao uwezo wa kukuuzia hisa na ww ili mlete ushindani ktk club.Sisi tinahitaji maendeleo ya Club na heshima ktk soka la Africa na dunia kwa ujumla.kazi kwako kama kidume kachukue hisa na ww...
  13. K

    Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

    Hapo bado hujaipanga ya Chadema na Nccra mageuzi...teeh teeh teeh Sent using Jamii Forums mobile app
  14. K

    Wazanzibari wanaruhusiwa kununua viwanja bara bila vikwazo ila Watanganyika hawaruhusiwi kununua viwanja Zanzibar, Je, ni kweli?

    Sio kweli hayo ni maneno ya mtaani tu.mm mbona nimenunua kiwanja na nimeanza kujenga huko, walitaka document nikawapa cheti changu cha kuzaliwa pamoja na Id ya taifa.Naimani kama ww sio Mtanzania bc lazima ukataliwe Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom