Wazanzibari wanaruhusiwa kununua viwanja bara bila vikwazo ila Watanganyika hawaruhusiwi kununua viwanja Zanzibar, Je, ni kweli?

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,526
Habari wadau.

Nina ndoto za kuishi Zanzibar nikistaafu. Nimetaka ninunue kiwanja mapema nianze ujenzi.

Nimeambiwa mtu wa Bara hurusiwi kununua kiwanja Zanzibar sababu wewe sio raia wa Zanzibar

Je, hii ni kweli? Kama ni kweli kwa nini wao Wazanzibar wanaruhusiwa kununua viwanja na kujenga huku Tanganyika a.k.a Tanzania Bara huku na wao sio raia wa Tanganyika?
 
Mkuu acha kuwa mkali ndio maana yake kwa kuwa zanzibar ni ka nchi kadogo sana sawa ma mikoa miwili ya tanganyika harafu sie ndo tuliwaomba yaani mwalimu nyerere ndie alimuomba karume waungane hivo masharti waliyowekeana ni hayo kaa ukijua zanzibar na tanganyika anataka muungano huu uwepo ni tanganyika ndio maana anakubali yote hayo abishe aone kama hamjiengui nae ana hofu muungano ukifa mtawkarubisha warabu waje hapo zanzibar sasa tunaogopa wanaweza kutupiga maana hapo ni jirani sana na sisi tanganyika ndio maana hatuwezi kuruhusu nyie mjitenge

Maadui zetu wanaweza kupitia kwenu 9kutu zuru nchi yetu ni maneno yaliyo sikika yakisemwa na mlevi mmoja akiwa chakari akipita barabarani [emoji848. Waterloo,
 
Sidhani kama ni kweli ila ni ngumu kwa mgeni toka nje ya Tanzania.
 
mbara kujenga nyumba Zenj.. ni sawa na kuvamia hifadhi ya barabara

no matter what..utaja timuliwa

kama sio kesho ni mtondogoo,kama sio na sultani utafukuzwa na waarabu weusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli hayo ni maneno ya mtaani tu.mm mbona nimenunua kiwanja na nimeanza kujenga huko, walitaka document nikawapa cheti changu cha kuzaliwa pamoja na Id ya taifa.Naimani kama ww sio Mtanzania bc lazima ukataliwe
Mbona wao wananunua huku. Kwani Zanzibar viwanja vimeisha.. kwa nini mmoja aruhusiwe mwingine akataliwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom