Nimeipenda hoja yako. Alisema vita hii ya raslimali si lelemama.
"MAJIZI" yote yatatumia mbinu nyingi zikiwemo za media kuhubiri mabaya. Sio kazi ya SA kujua tunayotaka sie.
Nijuacho wamejiuzulu/wamejitoa katika nafasi zao. Isipokuwa kwa vile "Wao" huwa wanajiamini ni watu safi waka-back date barua wakasema wamewafukuza. Iweje fujo zifanyike juzi wao wafukuzwe kabla ya juzi? Trh 18 ndio kumetokea sintofahamu alafu "wao" wanajidai eti wamewafukuza toka tarehe 15...
CHADEMA makao makuu ndio wanavuruga. Wao wanaiamulia sana Bunda badala ya kuwaacha wana Bunda wajipangie mambo yao. Hapo sasa wao kwa kuwatimua wajumbe hao wa jimbo na kurudisha jina la Ester kama mgombea hawaoni watasababisha sasa Wasira aje ashinde kirahisi? Makao makuu na Mkoa pia watambue...
Mh! Hii yote inasababishwa na ujio wa Ester Bulaya. Kama wao wanawatimua wajumbe kwa kurudisha jina la pili badala ya yule aliyeshinda hawajiulizi kea nini CHADEMA makao makuu wamerudisha jina la Ester na wakati hakushinda? Ukitafakari unaona ni Ester ndiye kaja kuvuruga hali ya CHADEMA Bunda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.