Recent content by kun wa bongo

  1. kun wa bongo

    Taja mnyama mwenye jina la umoja na wingi

    Ronaldo _ Ronaldinho
  2. kun wa bongo

    Naomba msaada, hii ni dalili ya mimba kutungwa?

    Mara baada ya kufanya ngono na mpenzi wangu alisema anahisi kama kuna uwazi halafu maji yanaingia. Je hii ni dalili ya kwamba mimba imeingia?
  3. kun wa bongo

    Je, hii ni dalili ya ujauzito?

    Nilitoka kusex na mke wangu mara baada ya kumaliza akaniambia anahisi tumboni mwake kama kuna tundu na maji yanaingia. Je hii inaweza ikawa dalili moja wapo ya ujauzito?
  4. kun wa bongo

    Siamini kama Al-badil inaweza kufanya mambo

    Kwa ufaham wangu al badir nikisomo cha kumuomba allah ndani yale ujumuisha kutaja majina ya watu mashuhuri waliomwaga damu katika vita badri Kwahy unaposoma na kutaja hayo majina hyo dua hujibiwa lakini pia hyo dua husomwa kwa sababu maalum Mfno ukiibiwa unaweza isoma ila inabidi ufate mashrt...
  5. kun wa bongo

    Siku mimba inaingia mwilini, kuna dalili yoyote inatokea?

    Hivi siku ambayo mwanamke mimba inaingia mwilini mwake kuna dalili yoyote ndani ya hiyo siku au kwa muda huo wa tendo? Na je ni dalili gani hizo? [emoji120] [emoji120] [emoji120]
  6. kun wa bongo

    Je, ni kweli mji wa Mecca upo katikati ya dunia?

    Mnasema duara halina katikt wkt mpira wenyw unasmama kweny kidole
  7. kun wa bongo

    Kama umeajiriwa basi wewe ni mtumwa. Unakubaliana na hili?

    Yani mwijonge huyu kama ananilenga yani maana pale kwenye swala la arlam,mishahra haikutani,na kuumwa mpk rukhsa daaah jaamaa hili
  8. kun wa bongo

    Hodi hodi

    Ni mwanaume
  9. kun wa bongo

    Hodi hodi

    Hodi jamani namm pia nimgeni etie nategemea kujifunza zaidi
  10. kun wa bongo

    Keko: Askari Magereza watembeza kichapo kwa raia usiku kucha

    Kikosi maalum cha mgereza huwezi fananisha na mp wa jw ww fatilia harafu utajua wanafanya kazi gani hwa watu ni hatari sana ww cyo mchezo wanapiga majudo kama commndo wa jw
Back
Top Bottom