Nilitoka kusex na mke wangu mara baada ya kumaliza akaniambia anahisi tumboni mwake kama kuna tundu na maji yanaingia.
Je hii inaweza ikawa dalili moja wapo ya ujauzito?
Kwa ufaham wangu al badir nikisomo cha kumuomba allah ndani yale ujumuisha kutaja majina ya watu mashuhuri waliomwaga damu katika vita badri
Kwahy unaposoma na kutaja hayo majina hyo dua hujibiwa lakini pia hyo dua husomwa kwa sababu maalum
Mfno ukiibiwa unaweza isoma ila inabidi ufate mashrt...
Hivi siku ambayo mwanamke mimba inaingia mwilini mwake kuna dalili yoyote ndani ya hiyo siku au kwa muda huo wa tendo?
Na je ni dalili gani hizo? [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kikosi maalum cha mgereza huwezi fananisha na mp wa jw ww fatilia harafu utajua wanafanya kazi gani hwa watu ni hatari sana ww cyo mchezo wanapiga majudo kama commndo wa jw
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.