Yaan inasikitisha sana kuona Katuga hajui hicho kifungu cha character na yeye ni Wakili mkuu:Tunakwenda wapi Kama nchi.Kuwa na vilaza mpaka mahakamani.
Yaan ww una shida sana!!Pole sana!!Inaonekana Kama sio chawa wa kububujikwa machozi basi na ww upo bungeni ki familia!Lakin sisi tuna philosophy kuwa kila mwanza mwisho pia upo:Ila unateseka kutetea uôngo!!Au una matatizo ya akili!!!
Namba ya simu ya nini?Au kwa kuwa unajua mama wa watu akisifiwa tu anakupa chèo:Kama Kitila Mkumbo alisifia kuhusu bandari kupewa waarabu akapewa uwaziri.
Achana kabisa na Polepole ile ni level nyingine kabisa:Ww endelea na kipaji chako cha uchawa mlichobalikiwa na mwenzako mmoja anayebubujikwq na màchozi:Polepole na nyie ni Mbingu na ardhi aiseee!!Achana nae kabisa!!
Kwa hiyo Samia hakuwepo wakati wa utawala wa Magufuli?Hapo ndio utaona watanzania wengi wanapenda unafiki Kama ww!!Yule aliyekuwa anasema hata msipopigia CCM tunashinda ni Nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.