Recent content by Kumbusho Dawson Kagine

  1. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Naibu wa Rais Gachagua ashikwa na kiwewe wakati wa kuapishwa

    Video ni Naibu wa Rais wa Kenya Mh. Rigath Gachagua mapema siku ya leo amelazimika kurudia tena kuapa baada ya kushikwa na kiwewe hivyo kukosea kuapa. Unadhani ni Kwa Nini Naibu wa Rais wa Kenya Mh. Rigathi alishikwa na kiwewe?. Disemba 9, 2020 mbele ya Rais Magufuli Naibu Waziri mteule wa...
  2. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Tanzania ina cha kujifunza kutoka Kenya?

    ❝ I want to tell the people of Kenya that you are finally free. You don’t have to talk with each other through Whatsapp for fear of being recorded and persecuted by state agencies❝ - Hon. Rigathi Gachagua, VP-Kenya
  3. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Kwa hakika CHATO Itabaki mawinguni

    Done Mkuu, shukrani sana!!!
  4. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

    Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo umeumaliza, Imani umeilinda. Kwa wasio mfahamu Dr. Mwele, alikuwa ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Tafiti ya kiafya Tanzania (NIMRI) Kabla Ya Kuondoshwa Kazini Rais Magufuli alipotangaza Kupatikana Kwa Visa Vya Ugonjwa Wa "Zika'' Hapa Nchini Tanzania. Miezi...
  5. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    Well articulated kaka, well narrated.....i second you kaka, elimu hii itasaidia wengi kupata uelewa mpana juu ya kwa nini Watanzania wanataka katiba mpya
  6. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais ya kuvunja Bunge la 11: Ni vitu gani kama vioo vipo mbele ya Mheshimiwa Rais - teleprompter ya kusomea ni nini?

    Novemba 2020 wakati Rais wa awamu ya Tano Hayati Magufuli akihutibia bunge katika ufunguzi wa bunge la 12 MATAGA waliibuka na kumsifia Rais Magufuli kwamba ameweza kukariri hotuba yote, MATAGA walimsifia kuwa Rais Magufuli alikuwa haangalii wala kusoma popote hotuba yake wakati akihutibia bunge...
  7. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Kisutu: Mwandishi Erick Kabendera aieleza Mahakama kuwa anashindwa kupumua vizuri, pia ana maumivu makali ya paja na mfupa

    Alikamatwa akiwa mzima na bukheri wa afya, lakini sasa hivi Mguu wake mmoja umepooza, ni mwanahabari wa habari za kiuchunguzi nchini Tanzania Erick Kabendera - Kisa chake cha kukamatwa kinachangaza na kustaajabisha sana, polisi walimkamata, kisha wakakana kumshikilia kwa siku nzima, Watanzania...
  8. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Goli la mkono 2015

    Hiki ni chumba chenye kompyuta kilichotumika kujumlishia matokeo mwaka 2015, chumba hiki maalumu cha IT kipo MASAKI JIJINI DSM, Kwa hakika hawa ndio walio msaidia kuhakikisha Rais Magufuli anaingia madarakani kwa namna yeyote ile. Katibu mkuu wa CCM Kanari Kinana pamoja na uzee hakuweza...
  9. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete alikuwa rafiki mkubwa wa vyombo vyote vya habari, asasi za kiraia zaidi alikuwa rafiki wa wapinzani

    Pamoja na kusemwa kukosolewa pamoja kubezwa na wapinzani na wakosoaji lakini haikuwa rahisi kwake kutengeneza uadui kwa wakosoaji wake na wapinzani wake kisiasa. Mwanaume huyu wa nguvu aliruhusu Uhuru wa kujieleza, alikuwa busara na hekima. Rais huyu alikuwa hahutubii taifa kila siku kama...
  10. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Kwa hakika CHATO Itabaki mawinguni

    1. Machi 9 , 2018 Rais Magufuli alifungua tawi la CRDB, chato Kijiji cha Kilimani alipozaliwa 2. Mwezi June 2016 Serikali ilianza rasmi kujenga uwanja wa ndege ambao hivi karibuni waziri Kigwangala amesema Rais Magufuli ameafiki uwe uwanja wa Kimataifa, hivyo utaitwa uwanja wa kimataifa wa...
  11. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Hii ni muhimu kwa watanzania wote na makundi yote nchini

    hahahahahaa inafedhehesha sana na kusikitisha sana kwa kweli.....very sad....sad at all
  12. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Hii ni muhimu kwa watanzania wote na makundi yote nchini

    Kwa hakika sasa naweza kuamini kuwa kuna udikteta kwa asilimia 100 kutokana na kuletwa hizi sheria kandamizi, kabla hajaingia madarakani alisema kuwa "Nikichaguliwa kuwa rais nawaambieni kuna watu watalimia meno.......kwa kweli kwa sheria hizi kandamizi tumeshaanza kulimia meno, tuzikatae na...
  13. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania Je, ni kosa kwa mwanachadema kuishabikia yanga?

    Siku za hivi karibuni kumeibuka mjadala mkubwa miongoni mwa wanajamii hasa kwa watu wanaojiita "MAKAMANDA" kulaani kitendo cha wana CHADEMA wenzao kuishabikia Yanga huku wakitoa hoja dhahania kuwa kuishabikia Yanga ni sawa na kuishabikia CCM. Mara kadhaa marafiki zangu wa karibu Ally Bananga...
  14. Kumbusho Dawson Kagine

    JamiiForums Tanzania JE NI KOSA KWA MWANACHADEMA KUISHABIKIA YANGA??

    Siku za hivi karibuni kumeibuka mjadala mkubwa miongoni mwa wanajamii hasa kwa watu wanaojiita "MAKAMANDA" kulaani kitendo cha wana CHADEMA wenzao kuishabikia Yanga huku wakitoa hoja dhahania kuwa kuishabikia Yanga ni sawa na kuishabikia CCM. Mara kadhaa marafiki zangu wa karibu Ally Bananga...
Back
Top Bottom