Kwa hakika CHATO Itabaki mawinguni

Kwa hakika CHATO Itabaki mawinguni

Joined
Apr 25, 2013
Posts
19
Reaction score
29
1. Machi 9 , 2018 Rais Magufuli alifungua tawi la CRDB, chato Kijiji cha Kilimani alipozaliwa

2. Mwezi June 2016 Serikali ilianza rasmi kujenga uwanja wa ndege ambao hivi karibuni waziri Kigwangala amesema Rais Magufuli ameafiki uwe uwanja wa Kimataifa, hivyo utaitwa uwanja wa kimataifa wa CHATO.

3. June 2 mwaka huu, serikali ilipandisha hadhi Pori la akiba la Burigi kuwa hifadhi ya taifa ya Burugi.

4. Mwaka jana 2018 uwekaji wa taa za kuongoza magari ulikamilika huko CHATO. Na siku hivi karibuni Serikali imesema itajenga uwanja mkubwa wa mpira wilaya CHATO ili kukuza vipaji

Nasema hiviiiiiii Kwa hakika CHATO Itabaki mawinguni..... 😂😂😂😂
 

Attachments

  • CHATO.jpg
    CHATO.jpg
    61.3 KB · Views: 40
Hata Piere alipata kiki za fasta fasta baada ya muda akapotea kabisaaa.
 
Vyote hivyo ni mali ya Tanzania, huo uwanja watatumia wachaga, wahaya, (watani zetu wahehe), waha, wapare ili mradi tu uwe mtanzania/mtu yeyote yule.
Uwanja wa mpira utatumiwa na waruguru, wasandawe na hata wakurya.
Hayo mataa ya barabarani yataongoza watu wote bila kujali ni wangoni, wamasai, wairaki, wajita n.k.
Chato ni sehemu ya Tanzania.
 
Maendeleo yanaletwa na watu
Unafikiri makazi huko vijijini yalianzishwa na serikali watu ndy waananzisha

Ova
 
Dah! Chato ilitikisa sana ndani ya miaka mitano iliyopita! Ila kwa sasa ni mwendo tu wa haki sawa kwa wote. Hakuna kubebwa wala nini.
 
Back
Top Bottom