Recent content by kumbisale

  1. kumbisale

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Habari wa jf wenzangu nimenichanga mpaka imefika ml2 sasa nataka kufanya biashara lkn sijui nifanye biashara ya aina gani nipo mbeya
  2. kumbisale

    Naweza kupata gari ndogo nzuri kwa Tsh. Milioni 3?

    Unalipata ila utabidi ukabadili bodi
  3. kumbisale

    Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

    Fata imani yako ya dini maana huko yupo mganga wa kweli hadanganyi na yupo hai miaka yote
  4. kumbisale

    Nauza kiwanja Kigamboni Kibada meta1428

    Kigamboni ni kubwa lkn hichi kipo karibu na ferry napia kwa bei elekezi ya serikali kule kwangu meta moja ni elfu 50 sasa piga hesabu hapo
  5. kumbisale

    Nauza kiwanja Kigamboni Kibada meta1428

    Sina uhakika kamili ila nikaribu sana ukipitia njia ya daraja jipya
  6. kumbisale

    Vitu vifuatavyo vinauzwa.

    Simu yako hauuzi maana inatopa picha vizuri
  7. kumbisale

    Nauza kiwanja Kigamboni Kibada meta1428

    Nauza kiwanja changu kimepemwa na kinahati kipo kigamboni kibada km 2toka barabara kuu ya Feri kwenda kongowe na kwa daladala shukia kituo cha chekechea utaona bango LA nyumba za nssf upande huohuo kipo krb zaidi na nyumba za nhc kimepimwa na kwa nahati na hakidaiwi kodi nikiwanja cha makazi bei...
  8. kumbisale

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Dah minakumbuka barabara kwenye kagiza frani nilikuwa na mfanyakazi wa ndani alikuwa mtamu balaa
  9. kumbisale

    Makonda amwandikia ujumbe Zari wa Diamond

    Sijaona kama nitatizo kwani kila jambo lazima ashiriki?napia inatokana na utashi na kuguswa juu ya jambo husika
Back
Top Bottom