Recent content by Kumbila medi

  1. Kumbila medi

    Maneno yanayoweza kukufanya upambane zaidi au kukukatisha tamaa....

    Sio yeye tu anayetaka kujiongezea miaka hata Nkurunziza ana mpango huo!
  2. Kumbila medi

    Kwanini RC wa Mwanza huwa havui kofia yake?

    Ni mila na desturi za wasukuma.
  3. Kumbila medi

    Natafuta speed meter za baiskeli

    Watafute wauzaji wa baiskeli ndogo aina ya montana
  4. Kumbila medi

    Watumshi wenye elimu ya darasa la saba waondolewa rasmi katika utumishi wa umma

    [emoji20] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  5. Kumbila medi

    Nahitaji kuonana na wakuu wa nchi nina jambo muhimu sana

    Andika uitume kwa dada wa taifa viongozi wooote itawafika!
  6. Kumbila medi

    Wakati Dar tunasumbuana na 'Panya road' huko Mbeya wameibuka 'Wakorea weusi'

    Hii inatokana na vyuma kukaza kupita kiasi ndio maana kila leo kunaibuka vikundi vya uhalifu na bado wataibuka hadi "WACHINA WEUSI"[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  7. Kumbila medi

    MASHINE YA MASAFA IKO SOKONI

    Yesu sio mungu na wala hategemei kuwa mungu na halitakuja litokee suala kama hilo.
  8. Kumbila medi

    Wataalam wa simu, ni nini hiki

    Nunua tachi mkuu ndo tatizo hilo!
  9. Kumbila medi

    INAUZWA Nauza piki piki fekon power 150,iko vizuri bado. (used)

    Weka namba tuwasiliane mkuu dar ni maeneo gani?
  10. Kumbila medi

    Siri ya kahaba na kuvunjika ndoa

    Hahahaha! Inatakiwa watafutiwe EFD Machine
  11. Kumbila medi

    Tabia za mashemeji zangu hazieleweki

    Gegeda woteeee mkuu acha kulaza damu khaaaaa!!
  12. Kumbila medi

    Msaada: kichomi hakisikii dawa

    Nenda Loliondo kaonane Dr Ambilikile Mwasapile
Back
Top Bottom