Recent content by kumaro

  1. K

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Msakuzi

    Naunza kiwanja changu kiko Mbezi Msakuzi kilomita 2.5 kutoka mbezi mwisho. Umeme upo palepale site na huduma zingine za jamii zipo. Kimeshafanyiwa preminary survey. Ukubwa: mita 20 kwa mita 21.Bei 6.8 milioni. Kwa maelezo zaidi piga 0659 402124. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Msaada: Gari yangu aina ya Nissan Dualis imeshindwa kuwaka

    Kigari changu Nissan Dualis kimeshindwa kuwaka sijui tatizo ni nini. Kwenye dashboard ukiiwasha inaonyesha "PS". Mwenye uelewa naomba msaada tafadhali.
  3. K

    KIWANJA KINAUZWA.

    Nauza kiwanja changu mbezi msakuzi. Nguzo ya umeme iko hapohapo site .ukubwa 20m kwa 21m. Kiwanja kiko sehemu nzuri sana na pia pamejengeka sana. Hatua za awali za upimaji shirikishi zimeshafanyika. Bei 6.5M piga 0659 402124 kwa maelezo zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Vyuo vya clinical medicine majanga

    . Sent using Jamii Forums mobile app
  5. K

    Naomba ushauri kuhusu malipo ya mkopo niliochukua Fanikiwa Microfinance LTD

    Mtu akupe 2m unaweka dhamana ya kitu gani ? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    Natafuta mume jamani

    Bwana akupe haja ya moyo wako.
  7. K

    Nahitaji kiwanja

    Hujasema unataka cha ukubwa gani.. Mimi nina kiwanja mbezi msakuzi. Kina ukubwa wa mita 20.5 kwa mita 19. Bei milioni 7. Upimaji shirikishi uko kwenye process. Pamejengeka sana na nguzo ya umeme iko hapo hapo site. Ukitaka picha utaonyeshwa. Barabara ipo ya kuingia na kutoka. Ukivutiwa na haya...
  8. K

    Natafuta kiwanja Goba

    Wanapaita kwa lipelanya
  9. K

    Natafuta kiwanja Goba

    Kama bado hujapata kiwanja mimi ninacho 21 kwa 20 mbezi Msakuzi. Bei ya mwisho kabisa 5M. Miundo mbinu mizuri sana na umeme uko hapohapo site. Piga 0754 773881 kwa maelezo zaidi
  10. K

    Milango ya mkongo inahitajika

    Nahitaji milango 11 ya mti wa mkongo hapa DSM. Mafundi wanaohusika nipeni bei kwa milango hiyo 11. Ueleze unapatikana wapi na namba ya simu.
  11. K

    Mume anahitajika 36+

    Umesomeka vizuri mamii, shida ni hao watoto. Baba yao hupo hai au kafariki? Maana mimi naweza kuingia gharama kuwatunza na kuwasomesha mwisho wa siku baba yao anakuja nakusema anataka watoto wake.Be honest, mlifunga ndoa au mlizaa nae tu? Hua mnawasiliana au hata...
  12. K

    Walimu wa Tuition wanahitajika.

    Unapatikana wapi sir
  13. K

    Pata kazi bora ya dirisha na milango ya aluminium kwa bei nafuu

    Mi nahitaji madirisha ya aluminium .jumla yake ni square meter 34.49 je itakua bei gani. Site iko Mbezi luis
  14. K

    Walimu wa Tuition wanahitajika.

    Sorry.unafundisha shule gani hapa DAR. Pia una tuition centre au namna gani
  15. K

    Nauza Mbao za mninga na Mkongo! Na tunatengeneza Milango na frem zake kwa kutumia Mbao zetu!

    Nataka milango 11 ya mkongo bila fremu. Itakua bei gani?
Back
Top Bottom