Kigari changu Nissan Dualis kimeshindwa kuwaka sijui tatizo ni nini. Kwenye dashboard ukiiwasha inaonyesha "PS". Mwenye uelewa naomba msaada tafadhali.
Hahahah,, Chizi Maarifa kweli weweUmejaribu hata kukimwagia petrol ukawasha na kiberiti kikagoma kuwaka? Kimeloana sana au basi nawe una mbwembwe.. gari utake kuiwasha ishindikane?sekunde tu. Washa njiti ingiza kwenye tank ya mafuta au kimwagie petrol kwenye seat then washa kiberiti.
Idiot.....Umejaribu hata kukimwagia petrol ukawasha na kiberiti kikagoma kuwaka? Kimeloana sana au basi nawe una mbwembwe.. gari utake kuiwasha ishindikane?sekunde tu. Washa njiti ingiza kwenye tank ya mafuta au kimwagie petrol kwenye seat then washa kiberiti.
Jaribu kuangalia battery yake vipi inachoma moto? Pengine hata zile battery terminal kama zimelegea inaweza kusababisha gari ishindwe kuwakaKigari changu Nissan Dualis kimeshindwa kuwaka sijui tatizo ni nini. Kwenye dashboard ukiiwasha inaonyesha "PS". Mwenye uelewa naomba msaada tafadhali.
Ingekua battery asingeona hiyo PSJaribu kuangalia battery yake vipi inachoma moto? Pengine hata zile battery terminal kama zimelegea inaweza kusababisha gari ishindwe kuwaka