Recent content by kulyanganga

  1. K

    JamiiForums Tanzania Naikataa CCM kwa kuwa NSSF wana dharau

    Dah. hauweleweki ulichokusidia kuandika maana sababu hayana maana ushahidi wala mantiki
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kutoka Dodoma: Fedha za kuhonga wajumbe wa NEC ya CCM zakamatwa!

    Mhhh.Kafanana na Rostam jamani
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kutoka Dodoma: Fedha za kuhonga wajumbe wa NEC ya CCM zakamatwa!

    Mhhh.Kafanana na Ristam jamani
  4. K

    JamiiForums Tanzania Nimelazimika kuileta hii video hapa, Nisamehe CHADEMA

    Kwani utawala bora wa chadema uko wapi kila mwaka mwenyekiti wanamuomba wazee aendelee na uenyekiti,mmenipotezea wa kuangali na MB 8 zangu tu.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe ndani ya kipindi cha Clouds360 saa 3:30 usiku

    Watu wakisikia zitto tu wanaanza kutetemeka huyu jamaa nimeamini mwanasiasa bora wa karne hapa TZ
  6. K

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Serikali inachekesha sana!

    Wewe tifautisha kati ya kurekebisha vifungu na kujenga hoja,siku zote marekebisho yake wabunge siooo ila hoja inaletwa bungeni, inajadiliwa,watu wanawajibika Hiyo ndo kazi ya Zito kama hauamini kaombe hansad bungeni utayapata yote kuhusu hoja hasa za zito.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi ajivua uanachama CHADEMA

    Bado Machali na Kafulila stay on tune mtasikia jambo Fulani.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi ajivua uanachama CHADEMA

    Zitto hatari nguvu zake Chadema wanatafuta pa kutokea sijui itakuwaje October hali inaonesha kama watagawana wabunge!
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba Azam TV kipindi cha funguka.

    Mtangazania kupitia CCM saa 1 usiku Huu Azam two tumsikilize tuone ana Sera gani katika mikakati yake ya kuingia Ikulu.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Dkt. Magufuli akagua ujenzi nyumba za Serikali

    Itakua anafanya tathmini namna ya kuuza tena!
  11. K

    JamiiForums Tanzania Siasa ni hesabu, Zitto, Tibaijuka, Muhongo na wenzao wamezikosea

    Lord denning Unadhani JK angesema nini wakati ulisikia kuwa kuna pesa zingine zilichotwa ikulu, na huhongo ndiyo ametajwa kuwa kibaraka, hakuna fisadi yeyote anaekubali kuwa kachukua. Hivyo Muhongo sikatai kuwa anaweza kuwa mtaalam, lakini asiwe msafi, kama wagombea wengine waliojitokeza na...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Siasa ni hesabu, Zitto, Tibaijuka, Muhongo na wenzao wamezikosea

    Ni mtazamo wako tu kama mitazamo mingine, profesa wa kweli angeweza kutofautisha fedha za Umma au Si za umma!
  13. K

    JamiiForums Tanzania Naiona vita ya Zitto Kabwe na Kafulila, Kafulila akitengenezwa kuwa mbadala wa Zitto

    wewe wa kuchanja usoni huna jipya, yeye kaona utoto mwingi kwani angetaka si angekata rufaa ya juu zaidi, lakini akaona haina haja ya kufanya hivyo siku akaona zimeisha uwezo anao wa kurudi bungeni, hata mil.238 hazitaki, dira yake ni aendelee kusimama juwaani bila kuwa kwenye SACCOS mnayo...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Naiona vita ya Zitto Kabwe na Kafulila, Kafulila akitengenezwa kuwa mbadala wa Zitto

    dah nakusikitikia sana, yaani huo ndo mtazamo wako na ukamaliza akili zako zote kujinasibu kuwa lisu na zito zaidi ni lisu labda kwa sheria kwani wote wana uwezo katika fani zao lakini sio siasa. lisu anaropoka hana hoja.
  15. K

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa ACT - Wazalendo Kibaha, June 28, 2015

    Umepanic bro
Back
Top Bottom