Naikataa CCM kwa kuwa NSSF wana dharau

Naikataa CCM kwa kuwa NSSF wana dharau

ss3

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
213
Reaction score
98
Kiukweli Mimi nampigia Lowassa ili angalau asaidie hii mifuko ya jamii hasa nssf kuheshimu wafanyakazi.

Madharau yamezidi na nadhani serikali inawabeba:

A S confused:
 
Ulitakiwa kuikataa NSSF na kujiunga mfuko mwengine.Kuikataa CCM kwa sababu ya NSSF ni kuionea.
 
NSSF Pale Hapaguswi, Nasikia Kuna Tatizo Sugu pale, Ila Wafanyakazi Wanaogopa Kuliweka Wazi tu. Mh. Lowassa Ukiingia Ebu Pafanyie Utafiti NSSF Kuna Tatizo Watu Hawasemi Tu.
 
Wote ni kambi lowasa lakini nssf wako sawa labda ulitaka nini ukashidwa kuhudumiwa au udini tu mkuu lowasa katoka ujambazini kaja njia kuu nawewe hama nenda pspf
 
Ulitakiwa kuikataa NSSF na kujiunga mfuko mwengine.Kuikataa CCM kwa sababu ya NSSF ni kuionea.

Serikali ya ccm imefilisi mifuko ya wafanyakazi, NSSF ikiwa kwenye orodha ya juu kabisa.. So yuko sawa kuikataa ccm kwa sababu hii..!
 
nssf nililipwa mafao yangu ndani ya 3 weeks toka nilivyoyaomba kwa mara ya kwanza.. na sikumjua hata mfagiaji
 
NSSF is the timing bomb,**** fukuto pale,wana siasa wana interest zao,ingawa is official mifuko ya hifadhi ya jamii imefilisika
 
Nssf kuna udini sana.Mpaka msikiti wamejenga ofisini.Lowassa nitampa kura yangu abadilishe nssf
 
NSSF Pale Hapaguswi, Nasikia Kuna Tatizo Sugu pale, Ila Wafanyakazi Wanaogopa Kuliweka Wazi tu. Mh. Lowassa Ukiingia Ebu Pafanyie Utafiti NSSF Kuna Tatizo Watu Hawasemi Tu.
nakuhakikishia kwamba serikali ya UKAWA itafagia uchafu wote nchi hii , mawakala wote wa kizushi , sijui yono , majembe etc tutafutilia mbali .
 
Kiukweli Mimi nampigia Lowassa ili angalau asaidie hii mifuko ya jamii hasa nssf kuheshimu wafanyakazi. Madharau yamezidi na nadhani serikali inawabeba:A S confused:
Haha..nasikia kuna watu wamekwenda hadi labour..jamaa wakagwaya...Hujasikia Wale jamaa wa daraja wamegoma...km tunasoma humnu NSSF ndio inafadhili wasaliti wa nchi hii na wengine unadhani kuna hela ya kutoa.Pengine ukaanzalie huduma za afya mnazopew amankatwa sh ngapi?Unadhani ni bure km wanavyotangaza?Kaangalie hizo bei uone kwanini hukuaamua jilipia tuu mwenyewe ili upate huduma za kufaa kwa bei isiyo ya kifisadi.JIbu ni kwamba ukijitoa kabla ya muda wa kustaafu watakata ukichelewa ecti wanaziacha.Una hakika gani NSSF itakuwepo baada ya dau na hooligans wake?
 
NSSF wako safi acheni majungu ila tunazo taarifa za kutosha za mpango mzima. kama UKAWA watashinda DG NSSF atakuwa Cresent Magori
 
Kumbe hata nyie imeshaingia kwenye 18 zaoeee. Mimi sasa nimekata
 
Dah. hauweleweki ulichokusidia kuandika maana sababu hayana maana ushahidi wala mantiki
 
Ramadhani Dau ni mcheza rafu mkubwa kwa niaba ya CCM na kibaya zaidi fedha anazotumia ni zawanachama wa NSFF huyu mtu ni hatari sana. Utawala ujao unatakiwa kumchukulia hatua.
 
Back
Top Bottom