Recent content by kulwasalehe

  1. kulwasalehe

    Magomeni, Dar: Kaka ambaka dada wa kazi, amuua na kumtumbukiza chooni kisha kumchoma kisu mama yake mzazi

    Wewe umeiona Magomeni tu ehee.. Vp Sinza watu wanafanya ufuska mpaka kwenye mageti ya watu?
  2. kulwasalehe

    Tuwapeleke watoto wakasome kiingereza

    Yaani unamaanisha watu wasome kiingereza ili wafaulu masomo ya juu.. Hii inafikirisha.. Baadae nini sasa? Kwa hiyo Kiswahili kifundishwe sekondari hadi chuo kikuu..
  3. kulwasalehe

    East Africa capital cities: Dodoma vs Nairobi

    Punguzu ushamba hata Dubai ilikuwa jangwa 1990's..Dodoma is making a fast progress.
  4. kulwasalehe

    Msumbiji yazitaka nchi jirani kusaidia kukabiliana na Wanamgambo, yasema mashambulizi yanaweza kusambaa ukanda mkubwa zaidi

    Labda mpe mfano wa Congo je wale wanamgambo wanachimba madini au wanalinda maslahi ya makampuni makubwa.
  5. kulwasalehe

    Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

    Sio waTz wote manyumbu kama nyie..
  6. kulwasalehe

    Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

    Sawa ndugu Mnaijeria..By the way visa yako ikiisha muda wake funga virago..
  7. kulwasalehe

    Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

    Siasa za kujifunza ukubwani..
  8. kulwasalehe

    Baada ya kupita barabara ya juu ya Ubungo Interchange, nimewaza tofauti

    Kilaza ww unauliza huu ni mchana? Wakati jua unaliona..
Back
Top Bottom